COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
This is Ngong road...u should build roads not shits
tunajenga vile plan yetu inataka sio kuiga ndio maana dar es salaam inabarabara nyingi in km kuliko nai na kama unabisha sema tu😀😀😀😀😀This is Ngong road...u should build roads not shits![]()
Ndio maana nikasema hiyo yenu itakuwa ya kwanza duniani. All over the world, roads are designed to have even number of lanes on each side of the road. That's epitome of poor planning, ndio maana siku zote tunawaambia kwamba Dar is a poorly planned city. Kuja Nairobi uone mpangilio wa barabara ulivyo borahakuna wall katikati its free ride from morning to afternoon njia ya kwenda town inatumika 3 ile ya kurudi 2 na afternoon to evening njia ya kutoka CBD inatumika 3 ile ya kwenda inatumia 2, unabishia ujinga tu😀😀
Wapi picha za ujenzi wa barabara ????...utandanganya nyanyako si sisitunabishana nn wewe fala😀😀😀 ujenzi bado unaendelea hio barabara nimekwambia inakwenda 10 lanes huelew au wanaingia phase 2 sasa
View attachment 685379
Haha unaota budatunajenga vile plan yetu inataka sio kuiga ndio maana dar es salaam inabarabara nyingi in km kuliko nai na kama unabisha sema tu😀😀😀😀😀
hio barabara inajengwa kwa phase wamemaliza phase one sasa wanaingia phase 2 unaumia kisa tanzania kujenga 10 lanes basi wewe sio mzima😀😀😀😀😀Wapi picha za ujenzi wa barabara ????...utandanganya nyanyako si sisi
haya leta barabara za city nairobi in km alaf uone kama utatoka humu, we huijui vyema dar😀😀😀😀Haha unaota buda
ujenzi wa control tower katika kiwanja cha ndege mwanza kikiwa kwenye hatua za mwisho
View attachment 685294
Unajua utasindwa tuhaya leta barabara za city nairobi in km alaf uone kama utatoka humu, we huijui vyema dar😀😀😀😀
Most innovative countries in Africa. I said we do not compete with economic, academic and intelligence dwarfs
View attachment 685367
basi kwa taarifa yako dar ina barabara nyingi sana in km kuliko nairobi, hio taarifa nakupaUnajua utasindwa tu![]()
misitu mingi kuliko majengo yani nairobi kwa dar bado sana tena sana muijenge kwanz mupunguze misitu😀😀When it comes to green spaces, nothing beats the Kenyan capitalView attachment 685383
Weka proof.... Uliishaga budabasi kwa taarifa yako dar ina barabara nyingi sana in km kuliko nairobi, hio taarifa nakupa
Asante kwa asira ila number mtazidi kusomamisitu mingi kuliko majengo yani nairobi kwa dar bado sana tena sana muijenge kwanz mupunguze misitu😀😀
Ata park Hamna shit citymisitu mingi kuliko majengo yani nairobi kwa dar bado sana tena sana muijenge kwanz mupunguze misitu😀😀
Tuonyeshe IPhone mzee wa sent from iphone7Nyinyi mko na amani kila siku na GDP mnacheza league moja na Mozambique
Is this the one which was being built along North Airport road in Embakasi/Pupeline near Taj Mall?South field![]()
![]()