Acha kujichekesha mkuu
Ukweli utakuweka huru ,vinginevyo unatumia nguvu nyingi sana kujifariji,,Wakenya wako mbele sana kwenye viwanda,miundombinu,real estates,biashara na Kilimo,,kitendo tu cha kujilinganisha nao ni ishara tosha,,hata wawekezaji wakubwa bongo ni wao,mambo ya green house tumejifunza kwao and many more things,,sie bongo cha kujicunia ni uhakika wa kula,Huduma za jamii na stable social integration
Uniite sijui mkenya au mbongo au mrundi haibasili huo ukweli,ili tu catch up lazima GDP ipite digit 2 la sivyo itakuwa ngumu given kasi ya ongezeko la watu na poor allocation of resources unaochagizwa na mfumo mbaya wa utawala