Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hio barabara bado inapanuliwa hapo ilipo iko kwenye ujenzi wanapanua from 5 to 10 lanes including 2BRT
Wacha ufala ukiona na wewe kuna space ya kuifikisha 10 lanes + 2 lanes ya brt???....then ukituambia 5 lanes????? Buda highway inafaa kua na even number lanes unless kwa exits.....then no street lights ,imeparara slum around those 2 towers
 
The best highway in bongo
3e437b015a6be1d0c578fe91122ff958.jpg
 
Wacha ufala ukiona na wewe kuna space ya kuifikisha 10 lanes + 2 lanes ya brt???....then ukituambia 5 lanes????? Buda highway inafaa kua na even number lanes unless kwa exits.....then no street lights ,imeparara slum around those 2 towers
ujinga haitakuacha salama😀😀😀😀
hapo ilipo ipo 5 lanes usiangalie kwa waswas
45EE0979-5B6A-4BF1-8382-8DEA53FB56DB.jpeg
 
Wacha ufala ukiona na wewe kuna space ya kuifikisha 10 lanes + 2 lanes ya brt???....then ukituambia 5 lanes????? Buda highway inafaa kua na even number lanes unless kwa exits.....then no street lights ,imeparara slum around those 2 towers
hio barabara nimekwambia bado iko kwenye ujenzi wanapanua to 10 lanes including 2 lanes BRT😀😀
nchi inaendelea kujengwa kimya kimya
 
nyerere hakukosea alipowaita wakenya "man eating man society"...
"manyang'au".

watu wenye roho mbaya kuzidi hata shetani... ndio maana chuki ya ukabila inashamiri nchini mwao.

a5dab27a48992a9dcedcb6d03c5220c5.jpg
 
nyerere hakukosea alipowaita wakenya "man eating man society"...
"manyang'au".

watu wenye roho mbaya kuzidi hata shetani... ndio maana chuki ya ukabila inashamiri nchini mwao.

a5dab27a48992a9dcedcb6d03c5220c5.jpg
Nyinyi mko na amani kila siku na GDP mnacheza league moja na Mozambique
 
Haha saa hizi ni 4 lanes inafaa uongeze 8 lanes ...4 left ...4 right .... Plus lane ya baiskeli na pedestriabs...izo ghorofa lazima zibomolewe....then utupee link that inajengwa....kudanganya utadanganya nyanyako si sisi
we fala nini nimekwambia ni 5 lanes unanibishia mm au ilikua na 3 lanes wakaongeza 2 sasa ni 5 na bado wanaipanua to 10 lanes we kama maumivu yamekukamata yakukamate vzr tu, google unayo unaogopa kuangalia😀😀😀😀😀😀😀
 
hio barabara bado inapanuliwa hapo ilipo iko kwenye ujenzi wanapanua from 5 to 10 lanes including 2BRT
Sijawahi ona barabara iko na five lanes, may be hiyo yenu itakuwa ya kwanza duniani. Unless you are talking about one service lane (on one side of the road) in a four-lane road which again doesn't make sense. Lanes in a road must be even numbers, not odd numbers
 
we fala nini nimekwambia ni 5 lanes unanibishia mm au ilikua na 3 lanes wakaongeza 2 sasa ni 5 na bado wanaipanua to 10 lanes we kama maumivu yamekukamata yakukamate vzr tu, google unayo unaogopa kuangalia😀😀😀😀😀😀😀
Sasa 5 lanes ? Seriously ? Wacha kujiabisha man...so 2.5 zinaenda to na 2.5 zinaenda fro.....5 lanes is only possible if there is an exit
 
Sasa 5 lanes ? Seriously ? Wacha kujiabisha man...so 2.5 zinaenda to na 2.5 zinaenda fro.....5 lanes is only possible if there is an exit
hakuna wall katikati its free ride from morning to afternoon njia ya kwenda town inatumika 3 ile ya kurudi 2 na afternoon to evening njia ya kutoka CBD inatumika 3 ile ya kwenda inatumia 2, unabishia ujinga tu😀😀
 
Sijawahi ona barabara iko na five lanes, may be hiyo yenu itakuwa ya kwanza duniani. Unless you are talking about one service lane (on one side of the road) in a four-lane road which again doesn't make sense. Lanes in a road must be even numbers, not odd numbers
hakuna wall katikati its free ride from morning to afternoon njia ya kwenda town inatumika 3 ile ya kurudi 2 na afternoon to evening njia ya kutoka CBD inatumika 3 ile ya kwenda inatumia 2, unabishia ujinga tu😀😀
 
hakuna wall katikati its free ride from morning to afternoon njia ya kwenda town inatumika 3 ile ya kurudi 2 na afternoon to evening njia ya kutoka CBD inatumika 3 ile ya kwenda inatumia 2, unabishia ujinga tu😀😀
That's a confused highway in history...no road markings,no street lights confused as ***
 
Back
Top Bottom