Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

haisaidii chochote unless you mean abckground photo
View attachment 3663596
Huelewi background ni nini 🤣🤣
IMG_3417.jpeg
 
Nakuelewa. akili yako haikukubalii ufanye any type of scrutiny. Inaonekana you don’t even understand the report itself to even figure out what types of questions you should ask. Let alone scrutinize.
hadi huruma 🤣🤣 unabishana mpaka na media, umeambiwa kabisa sources close to CAF bado unabisha 🤣🤣🤣🤣 and whats funny hujamaliza kusoma news nzima, au mpaka tukwambia news from official sources have cancelled kasarani Hosting AFCON 🤣🤣🤣
 
report ya kibabe kabisa 🤣 🤣 🤣 🤣🤣 Kasarani gone ❎
View attachment 3663429


apa we add 5 more matches to our tally 🤣 🤣 🤣 🤣 half + 5 more
so inshort mathare matches ztachezwa 6 tu AFCON nzima 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

ni vilio kila sehem
View attachment 3663433
Kwn caf wameikataa kasarani
 
Ila wakenya, yn kelele zote hizo uwanja wenyewe mmoja tu, je mngekuwa na viwanja vingi vipya kama Tz ingekuwaje.
Kenya ni burundi aliyechangamka.

Wanajisifia GDP kunwa.

Pesa ina thamani kubwa.

Wanashindwa kujenga kiuwanja kimoja.

Wanauana kwasababu ya Ugali.


Wanaishi kwenye nyumba za Mabati za kupanga.


Wakunya wana shida gani??


Screenshot_20260905_092822_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom