stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,785
- 34,460
shida iko wap madameTu
Tuonesha training ground ama annex ya Samia stadium,
Are you just trolling?
View: https://www.instagram.com/p/DbQcOoYDbNz/
shida iko wap madameTu
Tuonesha training ground ama annex ya Samia stadium,
Are you just trolling?
Ingekuwa ishakubaliwa then Kenya couldn't have asked for the opening match.si tushakwambia we are backing Uganda, ama unadhan we are selfish? President anataka iwe tanzania ila kwenye kikao tumesema we are backing Uganda and thats all needed 2 votes are only needed 😂😂😂😂
Opening mpaka sasa Uganda ndo anapewa kipaumbele, BUT only pale namboolee because unatakiwa kua na zaidi ya 45K seats, so yupo kwenye ujenzi, also we are backing uganda for the opening japo president anataka iwe apaMpaka Sasa Tanzania ndio wana uhakika wa kuchezesha game kubwa moja ya nusu fainali. Na hapo ndio tunasubiria tena Either opening au closing... Sana sana tutapewa opening.
Na tarehe 14 September ndio watatamgaza nani ata host kituo Cha kurushia matangazo Cha pamoja. Na hii ipia itakuwa pale Tabata kwa AZAM.
Kasarani was built in 1987 hata before mjue Stadiums ni nini. It was 60k seats until 2024 when it was reduced to 48,000k seats.sasa sisi na nyie nan wa kwanza kua na 60K stadium? 😂 😂 😂 😂 infact sio wa juu tu hata wanaokaa nyuma ya goli, the only place mpira unaonekana kama kwenye tv ni apo katikati both sides
Ingekuwa ishakubaliwa then Kenya couldn't have asked for the opening match.
In short it's safe to say that you had a meeting in your mother's house to back Uganda. The only two votes needed were yours and your mother's 😂😂🤣🤣
60k kwa kukaa kwenye slabs, 😂😂😂😂Kasarani was built in 1987 hata before mjue Stadiums ni nini. It was 60k seats until 2024 when it was reduced to 48,000k seats.
Najua hawezijua hiyo juu you are still a young kid😂😂🤣
Daahh yn jamaa wamekwama kabisaa aisee, wenzao wanaenda mbele wao wanarudi nyuma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hio inaitwa prince samouey ruto stadium bana 😂
View: https://youtu.be/8iOT6l7UFfA?t=1862
madame si video hii apa nmekuwekea sikiliza amejibiwa vp, "We are still discussing" and weeks later si nlikuja nkakwambia who was voted? BTW shida ni nn 😂 😂 😂 😂 😂
View: https://www.instagram.com/p/DbC1jpElV1K/
Uganda wana akibua stadium, mzuri kichz lakini hauchezeshi mechi yoyote ila upo standby, kuna uchaguzi unaangaliwa huenda ukatumika huo uwanja 😂 😂 😂 😂Daahh yn jamaa wamekwama kabisaa aisee, wenzao wanaenda mbele wao wanarudi nyuma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kasarani had seats idiot. Wakati tulikuwa na Stadium kubwa nyinyi bado mlikuwa mbatembeza bakuli kwa wachina🤣🤣😅60k kwa kukaa kwenye slabs, 😂😂😂😂
seats gan madame? what happend the seats gafla zmekua 40K seats? 😂😂😂😂Kasarani had seats idiot. Wakati tulikuwa na Stadium kubwa nyinyi bado mlikuwa mbatembeza bakuli kwa wachina🤣🤣😅
Napenda vile watanganyika mnajifariji. Eti hapa wachezaji wanaonekana kwa umbali? Minyamwezi bana! 🤣🤣🤣Uwanja pekee wa football kwa hapa East and Central Africa upo Tanzania, unaitwa Fumba stadium, talanta sio uwanja wa football pekee, na ndiyo mana utalazimika kuona wachezaji kwa mbaaaliiii kama viwanja vingi vya ki Africa.
alafu waliambiwa waweke skai boxes sjui wameweka 😂 😂 😂 nawaonea hurumaKasarani had seats idiot. Wakati tulikuwa na Stadium kubwa nyinyi bado mlikuwa mbatembeza bakuli kwa wachina🤣🤣😅
View: https://youtu.be/8iOT6l7UFfA?t=1862
madame si video hii apa nmekuwekea sikiliza amejibiwa vp, "We are still discussing" and weeks later si nlikuja nkakwambia who was voted? BTW shida ni nn 😂 😂 😂 😂 😂
View: https://www.instagram.com/p/DbC1jpElV1K/
Makwapa iko na Skyboxes? Arusha Stadium itself ni mpya na hata haina Skybox 🤣🤣😂alafu waliambiwa waweke skai boxes sjui wameweka 😂 😂 😂 nawaonea huruma
According to that idiot then hata Camp nue sio a football stadium juu it's too tall🤣🤣😂👇👇Napenda vile watanganyika mnajifariji. Eti hapa wachezaji wanaonekana kwa umbali? Minyamwezi bana! 🤣🤣🤣
View attachment 3658745View attachment 3658746View attachment 3658747View attachment 3658750
sasa wewe unajua nnNapenda vile watanganyika mnajifariji. Eti hapa wachezaji wanaonekana kwa umbali? Minyamwezi bana! 🤣🤣🤣
View attachment 3658745View attachment 3658746View attachment 3658747View attachment 3658750
Huu c uwanja wa soccer pekee ndo mana wameweka pitch kubwa, hapo zikipigwa chaki za football ndo utanielewa namaanisha nn, mchezaji lazima umuone kwa mbaliiEbu tuonyeshe picha ya hiyo Talanta Stadium unaongelea, cause it seems we might be talking about different stadiums🤣🤣😂