Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

si tushakwambia we are backing Uganda, ama unadhan we are selfish? President anataka iwe tanzania ila kwenye kikao tumesema we are backing Uganda and thats all needed 2 votes are only needed 😂😂😂😂
Ingekuwa ishakubaliwa then Kenya couldn't have asked for the opening match.

In short it's safe to say that you had a meeting in your mother's house to back Uganda. The only two votes needed were yours and your mother's 😂😂🤣🤣
 
Mpaka Sasa Tanzania ndio wana uhakika wa kuchezesha game kubwa moja ya nusu fainali. Na hapo ndio tunasubiria tena Either opening au closing... Sana sana tutapewa opening.

Na tarehe 14 September ndio watatamgaza nani ata host kituo Cha kurushia matangazo Cha pamoja. Na hii ipia itakuwa pale Tabata kwa AZAM.
Opening mpaka sasa Uganda ndo anapewa kipaumbele, BUT only pale namboolee because unatakiwa kua na zaidi ya 45K seats, so yupo kwenye ujenzi, also we are backing uganda for the opening japo president anataka iwe apa

View: https://youtu.be/8iOT6l7UFfA?t=1862
 
sasa sisi na nyie nan wa kwanza kua na 60K stadium? 😂 😂 😂 😂 infact sio wa juu tu hata wanaokaa nyuma ya goli, the only place mpira unaonekana kama kwenye tv ni apo katikati both sides
Kasarani was built in 1987 hata before mjue Stadiums ni nini. It was 60k seats until 2024 when it was reduced to 48,000k seats.

Najua hawezijua hiyo juu you are still a young kid😂😂🤣
 
Ingekuwa ishakubaliwa then Kenya couldn't have asked for the opening match.

In short it's safe to say that you had a meeting in your mother's house to back Uganda. The only two votes needed were yours and your mother's 😂😂🤣🤣

View: https://youtu.be/8iOT6l7UFfA?t=1862

madame si video hii apa nmekuwekea sikiliza amejibiwa vp, "We are still discussing" and weeks later si nlikuja nkakwambia who was voted? BTW shida ni nn 😂 😂 😂 😂 😂

View: https://www.instagram.com/p/DbC1jpElV1K/
 
1000025023.jpg
 
Uwanja pekee wa football kwa hapa East and Central Africa upo Tanzania, unaitwa Fumba stadium, talanta sio uwanja wa football pekee, na ndiyo mana utalazimika kuona wachezaji kwa mbaaaliiii kama viwanja vingi vya ki Africa.
Napenda vile watanganyika mnajifariji. Eti hapa wachezaji wanaonekana kwa umbali? Minyamwezi bana! 🤣🤣🤣
FB_IMG_1787552646226.jpg
1787558848994.png
FB_IMG_1787863258502.jpg
FB_IMG_1785750968615.jpg
 
Ebu tuonyeshe picha ya hiyo Talanta Stadium unaongelea, cause it seems we might be talking about different stadiums🤣🤣😂
Huu c uwanja wa soccer pekee ndo mana wameweka pitch kubwa, hapo zikipigwa chaki za football ndo utanielewa namaanisha nn, mchezaji lazima umuone kwa mbalii
Screenshot_20260828_125003_Google.jpg


Uwanja wa soccer pekee huu hapa unaitwa Fumba stadium upo Zanzibar,Tz. Angalia pitch size alafu linganisha na wa talanta
Screenshot_20260828_125226_Google.jpg

Viwanja vya design ya Fumba vipo vichache sn Africa.
 
Back
Top Bottom