Street Hawker
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 626
- 1,017
Ndo mana kuna mdau humu wakati talanta inajengwa alizani ungewekwa running track kwasababu eneo liliachwa kubwa sn katikati, ila nahisi wamefanya vzr kuacha eneo kubwa katikati, wakitaka kuweka running track wanaweka.ndo uhalisia sasa unataka kulia ama ๐ ๐ ๐ kwamba ulidhan kutokuweka running tracks ndo unaona mechi vizuri au ๐๐๐