Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na CAF wanasemaje?🤣🤣😂

1787909775535.png
 
Kama Kasarani haina Hadhi then no Stadium in Tanzania can't even qualify for training sessions 🤣🤣😂
Uwanja pekee wa football kwa hapa East and Central Africa upo Tanzania, unaitwa Fumba stadium, talanta sio uwanja wa football pekee, na ndiyo mana utalazimika kuona wachezaji kwa mbaaaliiii kama viwanja vingi vya ki Africa.
 
Uwanja pekee wa football kwa hapa East and Central Africa upo Tanzania, unaitwa Fumba stadium, talanta sio uwanja wa football pekee, na ndiyo mana utalazimika kuona wachezaji kwa mbaaaliiii kama viwanja vingi vya ki Africa.
Ebu tuonyeshe picha ya hiyo Talanta Stadium unaongelea, cause it seems we might be talking about different stadiums🤣🤣😂
 
Ni Uganda ama Tanzania? Please tell us one Venue that will host AFCON opening game🤣🤣😂.
si tushakwambia we are backing Uganda, ama unadhan we are selfish? President anataka iwe tanzania ila kwenye kikao tumesema we are backing Uganda and thats all needed 2 votes are only needed 😂😂😂😂
 
Mpaka Sasa Tanzania ndio wana uhakika wa kuchezesha game kubwa moja ya nusu fainali. Na hapo ndio tunasubiria tena Either opening au closing... Sana sana tutapewa opening.

Na tarehe 14 September ndio watatamgaza nani ata host kituo Cha kurushia matangazo Cha pamoja. Na hii ipia itakuwa pale Tabata kwa AZAM.
 
Back
Top Bottom