Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Least developed country...lol

fedheha
Nairobi Rapid Transportation - CBD nairobi
upload_2018-1-17_14-36-25.jpeg
 
Kuna Nakumatt pale Kigali inliojaa bidhaa za Kenya
images

nakumatt oasis kampala
Nakumatt-2.jpg

yaani kwa uwekezaji barani tupo mble ya nchi zote...hata SA...anayetaka kubisha aje abishe
Hawa Nakumat bongo tunawafungia fremu zao huku bongo wanashindwaje kulipa kodi ya pango wakati kuna watu wengi wenye uwezo wa kuimudu hiyo kodi??
Kilombero Bridge
AF1QipNDXswAhSQ5tfRYrkX9UgNojMc1a4_JzTaH02Sv=s0


AF1QipMnaDIVqBvYRbBGBRbJslMSQ1cYcaJkDqZ0OytW=s0


AF1QipOPUfgM8jjQCb0Jc7eePMEXuznkqwir3T9evVM4=s0


AF1QipM21rEoyjL6howknsRJiFpO2mS6ANAtIg4iODMa=s0


AF1QipNKCF_vOIOfSDIxgdPgCuSwEO6TnmMglQl8Xezv=s0



Google Maps
 
fair enough ila nadhani pia ni bora mjenge airports ili kuvutia utalii zaidi jinsi mlivyo na vivutio vingi...ni aibu kuwa watalii asilimia 99 wa Tanzania wanabebwa na ndege za nchi za ng'ambo...
Umenena vema, kumbuka tunafukuza mwizi taratiiibu na punde tutamfikia japo nae ndege zake nyingi ni leased na subleased
 
Phase 1 was launched 9 months ago according to the report umewekea wanaume hapa, hebu wekea wanaume progress hapa kwa picha juu hapa hakuna wanawake wa kusikiza na kusadiki umbeya.
SGR haina 5 months tokea iwe under construction launch is not construction
 
wajinga ndio huwa wanaibiwa kila uchao...yaani ndio mnajanjaruka 2018?😀😀😀 nyie huwa mnashangaza sana
Sasa wewe mbona hueleweki?, kwa watalii kutumia ndege za nchi zingine ndiyo kuibiwa?, Botswana wanaongoza kwa utalii mbona hawana ndege?. Mnaoibiwa ni nyingi 50% ya budget ya serikali inaishia mifukoni mwa akina Waiguru na ndugu zake Uhuru Kenyatta
 
We are not impressed by alphabet economics, we care for some real shit like the ability to feed our people.
Man shall not live by bread alone and that's why we ain't in the pathetic, unfortunate and sad LDC list. Fikisheni angalau $49 billion mwaka huu Kwenye GDP yenu ya kuhurumiwa.
 
Back
Top Bottom