Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Man shall not live by bread alone and that's why we ain't in the pathetic, unfortunate and sad LDC list. Fikisheni angalau $49 billion mwaka huu Kwenye GDP yenu ya kuhurumiwa.
Hatuishi kwa hesabu za kichwani, kama huna chakula hizo hesabu za bilioni zinasaidia nini?, mnatia aibu bara la Africa kwa kutegemea chakula cha wazungu na wachina huku mkiendelea kuimba billions za hewani
 
SGR haina 5 months tokea iwe under construction launch is not construction
Tumewazoea si hata Bagamoyo mlisema hivyo hivyo hata hatukupumua huku kwa news na renders haziishi? Wapi bagamoyo 7 years later ama pia ipo Kwenye mbwembwe launch bado construction launch?
 
Hatuishi kwa hesabu za kichwani, kama huna chakula hizo hesabu za bilioni zinasaidia nini?, mnatia aibu bara la Africa kwa kutegemea chakula cha wazungu na wachina huku mkiendelea kuimba billions za hewani
Nyinyi ni aibu hadi mbinguni kwa kuwa Mungu kawabariki na kila kitu si rotuba, mbuga za wanyama, madini ya thamani kubwa, Ziwa kadhaa, bahari na Nchi kubwa Kisha mnamalizia LDC.... WTF man????
 
Fikisheni angalau $49 billion mwaka huu Kwenye GDP yenu ya kuhurumiwa.
.
Firefox_Screenshot_2018-01-17T07-34-47.620Z.png


Firefox_Screenshot_2018-01-17T07-28-16.106Z.png
 
Nyinyi ni aibu hadi mbinguni kwa kuwa Mungu kawabariki na kila kitu si rotuba, mbuga za wanyama, madini ya thamani kubwa, Ziwa kadhaa, bahari na Nchi kubwa Kisha mnamalizia LDC.... WTF man????
Uhuru trolled for receiving 'food rations' from UAE - Nairobi News
Hawa ardhi yao yote ni jangwa, lakini wanawapa food donations, ninyi 20% ya aridhi yenu ni arable, more than the size of Rwanda na Burundi combined, lakini bado mnashindwa kujilisha hadi mnatutia aibu hapa EA.
 
Back
Top Bottom