joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
MOCKTumewawacha mumelala kifudi fudi.
Mtu mwenye njaa duniani ndiyo mtu wa mwisho, ninyi mnazidiwa hata na Burundi hawapati food donation, wazee wa njaa

MOCKTumewawacha mumelala kifudi fudi.

Haina expansion joints?Ukuta wa bahari ya hindi Dar es salaam
![]()
![]()
Apo umekula ugali,na mboga ,na nishati ya kupikigia ya gesi imetoka Tanzania umepata nguvu ya Ku post apa, vijana Kenya acheni uvivu ingine front nyanganya ma bwanyenye mashamba mlime la sivyo Tanzania ikikata msaada wa chakula mtakufaNyinyi ni aibu hadi mbinguni kwa kuwa Mungu kawabariki na kila kitu si rotuba, mbuga za wanyama, madini ya thamani kubwa, Ziwa kadhaa, bahari na Nchi kubwa Kisha mnamalizia LDC.... WTF man????
Ooh! Watu wa kwanza huwa LDC? Si Burundi na Tz ziko LDC?MOCK
Mtu mwenye njaa duniani ndiyo mtu wa mwisho, ninyi mnazidiwa hata na Burundi hawapati food donation, wazee wa njaa![]()
![]()
Maaskofu Kenya: Watu wanakufa kwa baa la njaa! - Radio VaticanHaina expansion joints?

utafuta boyfriend mtz?.Yeye ni kiroho chafu na yuko na beef? Your way or the road?

Sasa kati ya hao wote wanajitosheleza kwa chakula, isipokua Kenya, South Sudan, Somalia, Yemen and DRCOoh! Watu wa kwanza huwa LDC? Si Burundi na Tz ziko LDC?
Kuna Nchi moja West Africa ambayo ni a big producer of Uranium lakini bado ni LDC, Kwa hiyo Nchi inajulikana kama Niger. Je ina maana Niger ndio inayolisha China, USA na Japan?Apo umekula ugali,na mboga ,na nishati ya kupikigia ya gesi imetoka Tanzania umepata nguvu ya Ku post apa, vijana Kenya acheni uvivu ingine front nyanganya ma bwanyenye mashamba mlime la sivyo Tanzania ikikata msaada wa chakula mtakufa
Wazee wa tuta na LDC hoyeeeeeeSasa kati ya hao wote wanajitosheleza kwa chakula, isipokua Kenya, South Sudan, Somalia, Yemen and DRC
Maaskofu Kenya: Watu wanakufa kwa baa la njaa! - Radio Vatican
wazee wa njaa hoyeeeeeeeeee
From pinnacle towers baybeee.
Njaa ya Kenya ni unique hapa duniani, hadi Ikulu kuna njaaKuna Nchi moja West Africa ambayo ni a big producer of Uranium lakini bado ni LDC, Kwa hiyo Nchi inajulikana kama Niger. Je ina maana Niger ndio inayolisha China, USA na Japan?
LDC ni jina tu, halina hadhari yoyote wala hatukosi chakula, ajira, wala haisababishi vifoWazee wa tuta na LDC hoyeeeeee
Pinnacle towers za nini wakati mnanuka njaa?From pinnacle towers baybeee.
LDC ni jina tu, halina hadhari yoyote wala hatukosi chakula, ajira, wala haisababishi vifo
Njaa Kenya hata kwa wa tabaka la kati | Masuala ya Jamii | DW | 16.10.2017
Wazee wa njaaaa, hadi mawaziri wananuka njaa
Njaa Kenya hata kwa wa tabaka la kati | Masuala ya Jamii | DW | 16.10.2017

Nai kuna bugati?,Niliona bmwi8hawa New members lakini....lol.Hapa kwa magari tuliwacharaza around July 2017. . .nenda archives
.. Nchi ni Chakula hayo mengine ni mbwembwe, Hata Mungu alivyomuumba binadam alimuweka kwenye bustani yenye kila aina ya chakula.. Karibu asilimia 35% ya Wakenya wanahama nchi kila mwaka kutafuta makazi sehem nyingine..Wazee wa tuta na LDC hoyeeeeee