stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,220
- 33,787
apo vpPicha mpya ni kwamba hadi goal posts zishasimama Nyamwezi View attachment 3627046View attachment 3627047View attachment 3627049
apo vpPicha mpya ni kwamba hadi goal posts zishasimama Nyamwezi View attachment 3627046View attachment 3627047View attachment 3627049
na walikaa wakaambiwa kabisa wanawekewa VAR, Goal line Tech, grass ya fiber 😂 😂 namchoka babu yenu kiberaPicha mpya ni kwamba hadi goal posts zishasimama Nyamwezi View attachment 3627046View attachment 3627047View attachment 3627049
Dubwana hilo.. ***** sio kama kale ka hall ka kunya renda. View attachment 3626863View attachment 3626864View attachment 3626865…
View: https://www.instagram.com/reel/Dan_Vc0uoxU/?igsh=MTVzbGp4YWJvYmp4. Nilimwambia bro Geza Ulole. Kwamba lengo la huu mradi ni kukamilika kabla ya Afcon .. wakuu wame confirm huu ukumbi utaisha mwezi wa 7 mwakani.
Kwamba wewe unajua zaidi ya wanaojenga hapo.? Umekua engineer.? 😂😂😂Actual space is very small compared to the render, wamepigwa 😂😂😂
Angalia render na picha kwa ground, unless watabomolea watu nyumba sioni ukubwa.Kwamba wewe unajua zaidi ya wanaojenga hapo.? Umekua engineer.? 😂😂😂
Sasa wewe ni engineer.? 😂😂😂 walio design huo mradi waone eneo linatosha, wewe mchimba chumvi utuambie halitoshi.? 😂😂😂Angalia render na picha kwa ground, unless watabomolea watu nyumba sioni ukubwa.
Barabara lazima zijengwe, kwnn zisijengwe ss.Zinajengwa kwenye hewa labda
We maku ni kipofu au.? 👇🏾View attachment 3626921… 👇🏾
View: https://youtu.be/_OfXBzW9yXQ?si=wKGK8fcdotxGJPuU.
Kwa kawaida kiuhalisia kabisa kwa ukubwa wa Tz tulipaswa japo tuwe milioni 200 angalau, na ndiyo mana hata maendeleo yalichelewa. Resources zipo nyingi hazifanyiwi kazi, zimebaki idle.Si huwa mnasema population yenu haifiki 70M? Eti Kenya tunazaana Kama panya.😂😂😂
Hata kwa walioendelea hufanya hv, majengo fulani yanakaa sehemu fulani, yanaleta mandhari nzr, lkn huku kwetu njoo dar uone maajabu, majengo yametawanywa tawanywa hovyo hovyo tu, moja unalikuta mwenge lingine ubungo, ukija posta tunabaki na majengo ya maana manne tu, wakitucheka kwamba hatuna majengo tunakasirika, kumbe majengo tunayo lkn planners hawana hawana exposure.Wacha ujuaji wewe Kwahiyo wewe ni city planner?
Ndiyo hz hybrid?