Ukumbi mpya mkubwa wa mikutano Arusha.Nini hii?
That section was replanted kijana wa Tandale. Huu uwanja inakusumbua akili badala uende umwagilie vumbi maji kwenye barabara za kuelekea Arusha😂😂View attachment 3627156
au umejiskia tu kuongelea uwanja wa arusha 😂Ingekuwa inajengwa uzi ungejaa mapicha kama kawa
mmejiandaa lakini? 😂 😂 😂 😂 sio watu wanaingia uwanjan na kunguni
Sawa.Ingekuwa inajengwa uzi ungejaa mapicha kama kawa
kajiskia tu kuongelea chuga kijana wetu tusimfokee sana 😂 si unajua tena hali ya uwanja waoSawa.