Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,047
- 17,749
Ingekuwa inajengwa uzi ungejaa mapicha kama kawaAcha kupoteza muda na hao wapumbavu. Uwanja unajengwa nje ya mji barabara itatoka wapi? Ni wazi barabara itajengwa lakini hao wajinga labda wanafikiri barabara haitajengwa.