Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

:BASEDCIGAR:
1000022572.jpg

1000020883.jpg
1000022592.jpg
1000022586.jpg
1000022588.jpg

1000022594.jpg
1000022593.jpg
 
OOOOH! Now I know you guys just love to compare yourselves with us, maybe to console yourselves that you are close.

After we beat you in a thread you sensationally come up with another one, We are better than you in every possible way and you know it.

Maybe this thread will make you happy for a moment but after several posts you will open another one. I am sure it is not your memory. We have like 10 threads already showcasing this things.
It goes like mmmmmmhhhhhh but I think u'r still a 🦠🦠🦠
 
😂😂😂👇👇
Benki ya Dunia imeonya kuwa Wakenya wako katika hatari ya kukumbana na hali ngumu zaidi za kiuchumi katika miezi ijayo, huku hadi watu milioni 2.4 wakitabiriwa kutumbukia kwenye umaskini kufikia mwisho wa mwaka 2026.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa ripoti hiyo, Mchumi Kiongozi wa Benki ya Dunia, Tom Bundervoet, ameeleza kuwa kupanda kwa bei ya mafuta kumeongeza pia gharama za usafirishaji wa bidhaa na utoaji wa huduma.

Katika ripoti yake ya hivi karibuni ya Kenya Economic Update, benki hiyo imeeleza kuwa mzozo unaoendelea Mashariki ya Kati umeongeza shinikizo la mfumuko wa bei kutokana na kuvurugika kwa soko la nishati duniani na kupanda kwa bei ya mafuta.

Mbali na mzozo wa Mashariki ya Kati, Benki ya Dunia imezitaja pia athari za mabadiliko ya tabianchi pamoja na kuongezeka kwa hali ya sintofahamu ya kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027 kuwa miongoni mwa hatari zinazoweza kudhoofisha utendaji wa uchumi wa Kenya.

Meanwhile in 🇹🇿🇹🇿 tuna surplus

View: https://www.instagram.com/reel/DapC0vxMhhF/?igsh=ODRuOXQya2hncXBt
 
Kundustan mpo?
JENGO LA ABIRIA UWANJA WA NDEGE SONGEA LAZINDULIWA

Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, leo Julai 10, 2026, amezindua rasmi jengo jipya la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Songea. Mradi ambao umegharimu shilingi milioni 842 na umekamilika kwa asilimia 100, ukiwa na uwezo wa kuhudumia abiria 300 kwa wakati mmoja.

Akizungumza katika uzinduzi huo, Prof. Mbarawa amesema serikali inaendelea kuboresha viwanja vya ndege nchini ili kuendana na ongezeko la mahitaji ya usafiri wa anga kote nchini.

Amesisitiza kuwa kiwanja hiko ni mali ya Watanzania wote, hivyo ni wajibu wa wananchi kukilinda na kuhakikisha miundombinu yake inalindwa dhidi ya vitendo vinavyoweza kuhatarisha usalama wa huduma.

Prof. Mbarawa ametoa wito kwa mashirika ya ndege kutumia kikamilifu fursa ya uwanja wa Songea, ili kuongeza safari za ndege mkoani Ruvuma.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed, ameiomba serikali kupitia Waziri wa Uchukuzi kujenga jengo lingine la kisasa zaidi katika Uwanja huo. Amesema hatua hiyo ni muhimu itakayosaidia kuendana na kasi ya ukuaji wa sekta ya usafiri wa anga na mahitaji ya wananchi wa mkoa huo.

Amesisitiza kuwa jengo lililozinduliwa litumike kwa muda pekee, huku serikali ikiendeleza maandalizi ya ujenzi wa jengo jipya la kudumu, litakaloongeza uwezo wa kiwanja na kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika Ruvuma.
FB_IMG_1783749778233.jpg
 
Hii ikifanyika ni Bora zaidi kuliko refinery hasa hapo kwenye kiwanda Cha mbolea na umeme maana mteja wetu pamoja na mambo mengine atakuwa Kundustan 😂 😂 👇 👇

View: https://www.instagram.com/p/DaS4GYNkmiG/?igsh=b2hpODEzNHF6eG1v

Kuna kiwanda Cha mbolea , uendelezaji wa reli ya mtwara mbamba bay, hivi vitu vitatu ni vikubwa sana kuliko refinery. Pia gas extraction huwa na associated industries nyingi kuliko crude oil refinery, ikiwamo na helium gas ambayo ni adimu sana duniani.
 
Back
Top Bottom