Street Hawker
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 664
- 1,086
Mbn juakali?walikua wanategemea kuwekewa zile extra fiber 😂
Mbn juakali?walikua wanategemea kuwekewa zile extra fiber 😂
apo ni mwanzo tu, bila mask hutoboi uku!apo sasa hujaiona JKIA 😂 😂 😂 😂Mbn juakali?
Hilo eneo lina majengo maref mengi ni vile angle tofauti NSSF mafao house, PSSSF, Impala hotel zaman sasa Morena hotel , Leopard tours, TGC U/C na hotel nying kubwa zipo maeneo hayo wenyeji wa Arusha wanaelewa.Hata kwa walioendelea hufanya hv, majengo fulani yanakaa sehemu fulani, yanaleta mandhari nzr, lkn huku kwetu njoo dar uone maajabu, majengo yametawanywa tawanywa hovyo hovyo tu, moja unalikuta mwenge lingine ubungo, ukija posta tunabaki na majengo ya maana manne tu, wakitucheka kwamba hatuna majengo tunakasirika, kumbe majengo tunayo lkn planners hawana hawana exposure.
Hebu leta picha ya hata kilometer moja ya barabara imejengwa kule Arusha msituniBarabara lazima zijengwe, kwnn zisijengwe ss.
ni senegal peke yake hakupokea dozi
View: https://www.youtube.com/watch?v=skTZMaLZjcg&pp=ygUVdGFuemFuaWEgdnN2IGtlbnlhIDE3
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Dunia hii vichaa hawataishaNairobi ni dunia nyingine
Acha kupoteza muda na hao wapumbavu. Uwanja unajengwa nje ya mji barabara itatoka wapi? Ni wazi barabara itajengwa lakini hao wajinga labda wanafikiri barabara haitajengwa.Umekuja wakati muafaka.. haya toa tongo tongo mungiki 👇🏾View attachment 3626608View attachment 3626607barabara za njia nne. Zinajengwa kuzunguko huo uwanja.
Nini hii?Kimya kimya.
View attachment 3626803
That section was replanted kijana wa Tandale. Huu uwanja inakusumbua akili badala uende umwagilie vumbi maji kwenye barabara za kuelekea Arusha😂😂
Ingekuwa inajengwa uzi ungejaa mapicha kama kawaAcha kupoteza muda na hao wapumbavu. Uwanja unajengwa nje ya mji barabara itatoka wapi? Ni wazi barabara itajengwa lakini hao wajinga labda wanafikiri barabara haitajengwa.
Minyamwezi mnashinda mkileta picha za nyasi ndani ya Talanta wakati Arusha imezungukwa na barabara za vumbi in the middle of nowhere. Mitanganyika ni viumbe vya ajabu sana 😂 🤣Anatafuta pakupata nafuu huyo choko. 😂 sisi hatumpi nafuu mamamaee.