President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 33,972
- 93,298
Miaka 30 ya Bongoflava, wakenya wameiona?
Kabisa yaani, tupate na mabasi ya mwendokasi sasa.Baada ya hii Arusha itakua haikamatiki, kwa miradi na ujenzi wa majengo marefu unaoendelea Arusha, kiukweli wakimaliza watajiweka kwenye nafasi nzuri mtu ya walau jiji namba mbili kimaendeleo hapa Bongo.
Still tunahitaji refinery yetu kwa jinsi deception iliyofanyika ku-win the deal by Kenya usitegemee energy security toka kwao! Tusijidanganye!Kuna kiwanda Cha mbolea , uendelezaji wa reli ya mtwara mbamba bay, hivi vitu vitatu ni vikubwa sana kuliko refinery. Pia gas extraction huwa na associated industries nyingi kuliko crude oil refinery, ikiwamo na helium gas ambayo ni adimu sana duniani.
Tatizo Tz sijui tunashida gn, majengo mazuri yanatawanywa tawanywa hovyo hovyo badala yawekwe seem moja, hiyo centre ilipaswa iwekwe karibu na lile jengo la PAPU.Baada ya hii Arusha itakua haikamatiki, kwa miradi na ujenzi wa majengo marefu unaoendelea Arusha, kiukweli wakimaliza watajiweka kwenye nafasi nzuri mtu ya walau jiji namba mbili kimaendeleo hapa Bongo.
Ila kwenye hii show wabongo wamenifurahisha sn kumkataa naibu waziri alipoleta mambo yake ya siasa za mama, safi sn.Miaka 30 ya Bongoflava, wakenya wameiona?
View attachment 3626866
View attachment 3626867
View attachment 3626868
View attachment 3626869
Hilo eneo linakuja kwa kasi sana, hotels karibu zote kubwa za Arusha zipo eneo hilo.Tatizo Tz sijui tunashida gn, majengo mazuri yanatawanywa tawanywa hovyo hovyo badala yawekwe seem moja, hiyo centre ilipaswa iwekwe karibu na lile jengo la PAPU.
Not necessary, infact i prefer sehem moja iwe na design moja ya majengo, mfano center arusha obviously inatakiwa kua pale ngorongoro building, so means pale ndo waweke majengo ya quality zinazofanana, sio kama naislum apo apo guest house apo apo car washTatizo Tz sijui tunashida gn, majengo mazuri yanatawanywa tawanywa hovyo hovyo badala yawekwe seem moja, hiyo centre ilipaswa iwekwe karibu na lile jengo la PAPU.
Tayari kuna miradi miwili ya majengo marefu inakuja kuongeza nguvu pale. Yote ipo U/C.Not necessary, infact i prefer sehem moja iwe na design moja ya majengo, mfano center arusha obviously inatakiwa kua pale ngorongoro building, so means pale ndo waweke majengo ya quality zinazofanana, sio kama naislum apo apo guest house apo apo car wash
Utahama lini? Talanta ilijengwa🤣Mapua unatapa tapa
Zinajengwa kwenye hewa labdaUmekuja wakati muafaka.. haya toa tongo tongo mungiki 👇🏾View attachment 3626608View attachment 3626607barabara za njia nne. Zinajengwa kuzunguko huo uwanja.
Why did Tanzania reject? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tanga already has a very crucial oil pipeline and a running port that is progressively developing .
If you were smart enough, you would be honest with yourself; why did Tanzania reject Ruto-Dangote' s refinery proposal?
Walio na akili zao ndio hawa ndani ya skyboxKwan AFCON mmeshaandaaa? and infact kwan hio AFCON si mnaandaa because we wanted kwan mna qualifications zozote? 😂 😂 si atleast ata uwe thankfull cecafa president did something to save you, alafu hio barabara si tushaleta video apa ujenzi ukiendelea but your still stuck na old pics 😂😂😂
BTW mbna sjaskia tena zile kicks za horse wa kike kuhusu sky pot?😂😂 kwahio wewe uliona kama una akili kuliko sisi? View attachment 3626663
We maku ni kipofu au.? 👇🏾Wapi barabara inajengwa hapa mkundu wewe View attachment 3626919
Halafu utakuta ya Ukunduni gharsma ya ujenzi ipo juu!Conference center ya watu fudenge 👇🏾View attachment 3626875vs MKICC 👇🏾View attachment 3626876..
kitu kimoja kuhusu Tanzania na kujenga designs za unyama tumetengwa.. beauty ndio kitu tunazingatia .. wakunya sijui wamejenga nyumba ya msonge, designs za nyumba za kiswahili kule Tanga na mombasa. 😂😂😂.