Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Miaka 30 ya Bongoflava, wakenya wameiona?

1783756271621.png


1783756355095.png


1783756447465.png


1783756521408.png
 
Conference center ya watu fudenge 👇🏾
IMG_7216.jpeg
vs MKICC 👇🏾
IMG_7215.jpeg
..
kitu kimoja kuhusu Tanzania na kujenga designs za unyama tumetengwa.. beauty ndio kitu tunazingatia .. wakunya sijui wamejenga nyumba ya msonge, designs za nyumba za kiswahili kule Tanga na mombasa. 😂😂😂.
 
Kuna kiwanda Cha mbolea , uendelezaji wa reli ya mtwara mbamba bay, hivi vitu vitatu ni vikubwa sana kuliko refinery. Pia gas extraction huwa na associated industries nyingi kuliko crude oil refinery, ikiwamo na helium gas ambayo ni adimu sana duniani.
Still tunahitaji refinery yetu kwa jinsi deception iliyofanyika ku-win the deal by Kenya usitegemee energy security toka kwao! Tusijidanganye!
 
Baada ya hii Arusha itakua haikamatiki, kwa miradi na ujenzi wa majengo marefu unaoendelea Arusha, kiukweli wakimaliza watajiweka kwenye nafasi nzuri mtu ya walau jiji namba mbili kimaendeleo hapa Bongo.
Tatizo Tz sijui tunashida gn, majengo mazuri yanatawanywa tawanywa hovyo hovyo badala yawekwe seem moja, hiyo centre ilipaswa iwekwe karibu na lile jengo la PAPU.
 
Tatizo Tz sijui tunashida gn, majengo mazuri yanatawanywa tawanywa hovyo hovyo badala yawekwe seem moja, hiyo centre ilipaswa iwekwe karibu na lile jengo la PAPU.
Not necessary, infact i prefer sehem moja iwe na design moja ya majengo, mfano center arusha obviously inatakiwa kua pale ngorongoro building, so means pale ndo waweke majengo ya quality zinazofanana, sio kama naislum apo apo guest house apo apo car wash
 
Not necessary, infact i prefer sehem moja iwe na design moja ya majengo, mfano center arusha obviously inatakiwa kua pale ngorongoro building, so means pale ndo waweke majengo ya quality zinazofanana, sio kama naislum apo apo guest house apo apo car wash
Tayari kuna miradi miwili ya majengo marefu inakuja kuongeza nguvu pale. Yote ipo U/C.
 
Tanga already has a very crucial oil pipeline and a running port that is progressively developing .
If you were smart enough, you would be honest with yourself; why did Tanzania reject Ruto-Dangote' s refinery proposal?
Why did Tanzania reject? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Do you have proof of this? Ama huku ndio kujifariji imekufikisha?😂😂
 
Kwan AFCON mmeshaandaaa? and infact kwan hio AFCON si mnaandaa because we wanted kwan mna qualifications zozote? 😂 😂 si atleast ata uwe thankfull cecafa president did something to save you, alafu hio barabara si tushaleta video apa ujenzi ukiendelea but your still stuck na old pics 😂😂😂

BTW mbna sjaskia tena zile kicks za horse wa kike kuhusu sky pot?😂😂 kwahio wewe uliona kama una akili kuliko sisi? View attachment 3626663
Walio na akili zao ndio hawa ndani ya skybox
images - 2026-04-20T181301.401.jpeg
 
Conference center ya watu fudenge 👇🏾View attachment 3626875vs MKICC 👇🏾View attachment 3626876..
kitu kimoja kuhusu Tanzania na kujenga designs za unyama tumetengwa.. beauty ndio kitu tunazingatia .. wakunya sijui wamejenga nyumba ya msonge, designs za nyumba za kiswahili kule Tanga na mombasa. 😂😂😂.
Halafu utakuta ya Ukunduni gharsma ya ujenzi ipo juu!
 
Back
Top Bottom