stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,166
- 33,641
Losers explain, winners celebrate. You go explain taya😂😂Mimi kinachonichekesha ni serikali ya Tanzania haijawahi kupiga kelele kuwa Dangote atajenga au anajenga refinery Tanga na ndio maana siku ile rais akamuuliza kaongo, ni kelele za wakunya na rais wao, iweje sasa washangilie like walikuwa wanashindana na Tanzania! 😂😂😂
View attachment 3626263
Ni kwako tunakopa. Bongolala LDC.Anayeandika hivi anatokea nchi ambayo haiwezi kujenga hata km 1 ya barabara bila kukopa. 😂😂😂
Hii kweli inashangaza. Ruto na wenzie ndio wanasema ijengwe Tanga wakati wenye nchi hawajui. Halafu wameamua wajenge Kenya suddenly ni ushindi kwa Kenya kuinyang'anya Tanzania refinery!Mimi kinachonichekesha ni serikali ya Tanzania haijawahi kupiga kelele kuwa Dangote atajenga au anajenga refinery Tanga na ndio maana siku ile rais akamuuliza kaongo, ni kelele za wakunya na rais wao, iweje sasa washangilie like walikuwa wanashindana na Tanzania! 😂😂😂
View attachment 3626263
Hawa wakenya ni mazuzu hawa.Hii kweli inashangaza. Ruto na wenzie ndio wanasema ijengwe Tanga wakati wenye nchi hawajui. Halafu wameamua wajenge Kenya suddenly ni ushindi kwa Kenya kuinyang'anya Tanzania refinery!
Primitive hao,wanadhani hapa duniani mwenye uwezo wa kuwekeza refinery ni dangote tu,binafsi nimefurahi kwa kutoshirikiana na zile mbuzi kwenye ule mradiYes itajengwa tu,
Mimi nashangaa hawa kondoo utadhani kuna siku serikali imekaa na kuanza kuongelea Dangote kujenga refinery.
Huku mnajifanya tough, in other threads mnalia kweli kweli 😂😂🤣🤣Primitive hao,wanadhani hapa duniani mwenye uwezo wa kuwekeza refinery ni dangote tu,binafsi nimefurahi kwa kutoshirikiana na zile mbuzi kwenye ule mradi
Kapambane na njaa.Ni kwako tunakopa. Bongolala LDC.
Museveni aliwasaidia kweli kupata hiyo refinery ya Dangote?😂😂🤣🤣Museven kila siku yuko upande wa TZ,mungiki mnajisumbua tu issue ya refinery
Wanajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe.Hii kweli inashangaza. Ruto na wenzie ndio wanasema ijengwe Tanga wakati wenye nchi hawajui. Halafu wameamua wajenge Kenya suddenly ni ushindi kwa Kenya kuinyang'anya Tanzania refinery!
Mu7 alifuata mkumbo,muambieni sasa ajoin refinery yenu 😀Museveni aliwasaidia kweli kupata hiyo refinery ya Dangote?😂😂🤣🤣
Mu7 alifuata mkumbo,muambieni sasa ajoin refinery yenu 😀
Which Tanzanian Tycoon to be specific?Even if it’s true, ask yourself why Tanzanian tycoons are running to Kenya, is it because Tanzania does not promise ROI? Kenyans will continue building to sell for you and then uko hapo unashobokea Kenyans ku win ukifikiria ni vibaya 😅
President of China jamaa anakwambia maximum speed was 90km/h 😂😂
View: https://youtu.be/R6fczU4wKt8?t=799