Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi kinachonichekesha ni serikali ya Tanzania haijawahi kupiga kelele kuwa Dangote atajenga au anajenga refinery Tanga na ndio maana siku ile rais akamuuliza kaongo, ni kelele za wakunya na rais wao, iweje sasa washangilie like walikuwa wanashindana na Tanzania! 😂😂😂
View attachment 3626263
Losers explain, winners celebrate. You go explain taya😂😂
 
Nairobae.

1000327614.jpg
 
Mimi kinachonichekesha ni serikali ya Tanzania haijawahi kupiga kelele kuwa Dangote atajenga au anajenga refinery Tanga na ndio maana siku ile rais akamuuliza kaongo, ni kelele za wakunya na rais wao, iweje sasa washangilie like walikuwa wanashindana na Tanzania! 😂😂😂
View attachment 3626263
Hii kweli inashangaza. Ruto na wenzie ndio wanasema ijengwe Tanga wakati wenye nchi hawajui. Halafu wameamua wajenge Kenya suddenly ni ushindi kwa Kenya kuinyang'anya Tanzania refinery!
 
Hii kweli inashangaza. Ruto na wenzie ndio wanasema ijengwe Tanga wakati wenye nchi hawajui. Halafu wameamua wajenge Kenya suddenly ni ushindi kwa Kenya kuinyang'anya Tanzania refinery!
Wanajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe.
 
Even if it’s true, ask yourself why Tanzanian tycoons are running to Kenya, is it because Tanzania does not promise ROI? Kenyans will continue building to sell for you and then uko hapo unashobokea Kenyans ku win ukifikiria ni vibaya 😅
Which Tanzanian Tycoon to be specific?
Kwamba someone expanding/internationalizing his business ni sababu Home country can’t promise roi? Is this how you reason ?
 
Back
Top Bottom