Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acha kujidanganya dogo Dar ni lidude likuuuubwa sana kwenu
View attachment 3621093
kula chuma hicho kwanza
I have told you to show us more than 3 lakini wewe unatuonyesha moja alafu unajipiga kifua. I can show you one picture with 20 tall buildings under construction in Westlands alone. Wewe umetafuta Dar mzima ukatoka na hii building moja😂😂
 
CBD
1000319697.jpg
1000319716.jpg
 
Baboon bwana, hii ndio ubaya ya kuishi msituni maishani kwako yote😂😂.

Tatu City is building 140 meters buildings yet unataka kuilinganisha na midgets za Dodoma?
Hebu leta hizo buildings zenye mnajenga huko tatu street. 😂😂😂 usilete renda tafadhali, una kazi moja tu ya kufanya, leta real pictures.
 
Hebu leta hizo buildings zenye mnajenga huko tatu street. 😂😂😂 usilete renda tafadhali, una kazi moja tu ya kufanya, leta real pictures.
Tatu city is building a 140 meter tower. Hiyo ukichukua buildings zote in Dodoma and stack them together they still can't match the height of Jabali Tower.
1783065649815.jpeg

1783065612499.jpeg

1783065627050.jpeg

Another Tower coming up in Tatu is this cluster of 26 floors buildings of 6.
1783065287010.jpeg
 
Tatu city is building a 140 meter tower. Hiyo ukichukua buildings zote in Dodoma and stack them together they still can't match the height of Jabali Tower.
View attachment 3621122
View attachment 3621120
View attachment 3621121
Another Tower coming up in Tatu is this cluster of 26 floors buildings of 6.
View attachment 3621117
Huu unatueleza ni ukichaa 😂😂😂 nimetoka kukuonyesha skyline ya DOM gvt city wewe unakuja na majibu ya eneo linalotarajiwa kujengwa tena ni kajengo kamoja. 😂😂 hebu tueche kuleta ushindani ambao haupo..
usilazimisha kulinganisha vitu ambavyo havilinganishiki. 😂😂😂 Dom gvt city ni mji ambao haupo hapo Kunyarenda, you hav nothing in comparison with it.
 
Nina haraka ya kupost skyline ya Arusha as of 2026, lakini nimejisubirisha hadi nione shots za BERTIN 😂😂😂.
 
Huu unatueleza ni ukichaa 😂😂😂 nimetoka kukuonyesha skyline ya DOM gvt city wewe unakuja na majibu ya eneo linalotarajiwa kujengwa tena ni kajengo kamoja. 😂😂 hebu tueche kuleta ushindani ambao haupo..
usilazimisha kulinganisha vitu ambavyo havilinganishiki. 😂😂😂 Dom gvt city ni mji ambao haupo hapo Kunyarenda, you hav nothing in comparison with it.
mbona unalia? Si ni wewe ndio uliitisha kuonyeshwa buildings zenye zinajengwa Tatu City? Dodoma mnajenga dwarf buildings just like you yet mnataka kuilinganisha with Tatu City that is building 140 meters high buildings?😂😂🤣

Hiyo Dodoma linganisheni na Isiolo na sio Tatu City.
 
mbona unalia? Si ni wewe ndio uliitisha kuonyeshwa buildings zenye zinajengwa Tatu City? Dodoma mnajenga dwarf buildings just like you yet mnataka kuilinganisha with Tatu City that is building 140 meters high buildings?😂😂🤣

Hiyo Dodoma linganisheni na Isiolo na sio Tatu City.
malzia kwanza izo buildings ndo uzilete, as of now this is what you have, and people might think this is a common area ila apa ndo heart ya naislum and even players wa AFCON watakaa apa
1783069675527.png
 
mbona unalia? Si ni wewe ndio uliitisha kuonyeshwa buildings zenye zinajengwa Tatu City? Dodoma mnajenga dwarf buildings just like you yet mnataka kuilinganisha with Tatu City that is building 140 meters high buildings?😂😂🤣

Hiyo Dodoma linganisheni na Isiolo na sio Tatu City.
Ukishindwa jambo ni vyema utulie.
 
Back
Top Bottom