Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

acha kuzunguka saaaaaaaana, next time upunguze mdomo kama huna ela ya kulipia AI
1783018414882.png
 
Skyline kama hiyo huwezi pata hapo kunya renda yote .. you have nothing like that. Hizo ni more than 30 proper buildings n them all well planned .. na ni majengo za glasses tupu.. 😂😂 hiyo ni Sandton city ya Bongo , n guess what ndio kwanzaa tumeanza. Hebu toa tongo tongo. 👇🏾View attachment 3620639
img_6774-png.3620635
Baboon bwana, hii ndio ubaya ya kuishi msituni maishani kwako yote😂😂.

Tatu City is building 140 meters buildings yet unataka kuilinganisha na midgets za Dodoma?
 
Hivi nyie wakenya mbafikiri Dar hakuna majengo mapya yanayojengwa? Watu hawana muda tu wa kupiga picha hayo majengo.
Just show us just 3 buildings under construction in Dar with 20 floors and above. I don't want to mention 30 floors juu najua haiko.
 
Back
Top Bottom