Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

your constructing cheap buildings what do you expect
1783071803639.png
 
I have told you to show us more than 3 lakini wewe unatuonyesha moja alafu unajipiga kifua. I can show you one picture with 20 tall buildings under construction in Westlands alone. Wewe umetafuta Dar mzima ukatoka na hii building moja😂😂
I have a job my friend siko huku all the time kama wewe when I am not busy nitakuwekea ila kwa sasa hivi shushia drink na hiyo niliyotuma.
 
Kutangulia si kufika. 😂😂😂 lata sasa hizo full glass cladded buildings za kunya tulunganishe na zilizoko Bongo.
hawana glass buildings bado, Nairobi bado haijafika ile mega city status, The only option is to start a new city, Project zote za kufanya iwe mega city haziwekezan kwa jinsi palivo saahv, mfano Modern buildings, transport systems haziwezekan in the current structure
 
I have a job my friend siko huku all the time kama wewe when I am not busy nitakuwekea ila kwa sasa hivi shushia drink na hiyo niliyotuma.
That's the excuse yenye Lazima ungetumia. So when you were searching for the one you posted ungepata zingine? Ama you need hours to search buildings under construction?😂😂🤣


This section of Westlands alone has more tall buildings under construction than the total number of 100 meters plus buildings in entire Tanzania.
1000266011.jpg
 
That's the excuse yenye Lazima ungetumia. So when you were searching for the one you posted ungepata zingine? Ama you need hours to search buildings under construction?😂😂🤣


This section of Westlands alone has more tall buildings under construction than the total number of 100 meters plus buildings in entire Tanzania.
View attachment 3621281
zege buildings or glass buildings?
 
Back
Top Bottom