Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Despite being the most blessed country in Africa after DRC, it is one of the poorest countries in the world...they have gold, lakes, big beaches, large tracts of arable land, highest mountain, diamond, tanzanite, reliable rainfall, wild animals and large gas reserves...hakuna nchi iliobarikiwa hivi afrika nzima....north africa is all desert...the only thing they have is oil...Kenya is semi arid in north and north eastern....yet, even with all these blessings, Tanzania is a big LDC country...SHAME ON YOU GUYS...
Angola na Nigeria zimebakikiwa sana pia
 
Like I said that place is nowhere near upperhill...kunaeza kua na nyumba nyingi but ni nyumba tu za kawaida unazipata place kama eastland ....upperhill has new modern classy buildings
Povu.
 
jikazeni...nchi imebarikiwa sana...mfano hizo nchi za north africa ni desert tupu, hawana minerals apart from oil, hawana mountains, lakes rivers, wild animals or even rainfall...but they are soo developed...look at Morocco, Egypt, Algeria etc...same can be said about other countries like Kenya...kenya north na east ni nchi kavu yote..hakuna mvua wala nini...hatuna minerals kama dhahabu, diamond...we only recently discovered oil na sio oil nyingi...but we are trying...Tanzania should do something...it has been asleep for very long...
na tanzania ndio inaanza kutumia resources yani speed zote za maendeleo unazoziona ndio tumeanza kutumia resources sasa😀😀😀😀😀😀😀
 
Angola na Nigeria zimebakikiwa sana pia
ndio ila kwa mafuta tu...nyie mna baraka toka kwa wanyama pori, beaches and islands, na pia mvua tele...nchi si kame kama vile northern Kenya...mna tanzanite, gas, diamond na dhahab...mna mlima mrefu kabisa barani kisha mna fresh water lakes ambazo Angola na Nigeria hawana...frankly, kwa baraka za natural resources, tz na DRC mlipendwa na Mola...
 
we wacha kudanganya watyu...Brookside wamekamata soko la Tanzania
suburu brookside hasikiki tanzania kuna viwanda vya maziwa zaidi ya 15 na zote ziko kwenye ushindani mkali sana😀😀😀😀😀😀😀😀
 
na tanzania ndio inaanza kutumia resources yani speed zote za maendeleo unazoziona ndio tumeanza kutumia resources sasa😀😀😀😀😀😀😀
yaani mmekuwa mkilala...Tanzania should be ahead of South Africa today....SA kuna mahali kumekauka sana...hawana mlima mrefu kabisa barani,...hawana pia wanyama pori kiasi mlio nao...kwa hiyo, tukubaliane tu kwa hili, watz mmekuwa mkilalia masikio yenu kwa muda mrefu sana...angalau Magu ameamsha engine ila its too late...watu kama SA wapo mbele sana hamuwez kuwafikia kamwe...Kenya pia na ukame wa kaskazini tupo mbele ynu kiuchumi
 
Unalosema ni kweli tupu, ila pia lazima ukubali kwamba, Kenya haina sababu yoyote ya kuwa ni miongoni mwa nchi zenye njaa ya Kudumu, kwa
sababu arable land ya Kenya(20%), ni kubwa kuliko arable land za Rwanda and Burundi combined, lakini wanazalisha chakula cha ziada, Kenya lazima mzipitie upya sera na sheria za umiliki wa ardhi, vinginevyo hii aibu ya kuomba chakula kila mwaka haitokwisha
ikiwa huyu ni mmoja tu bado wale settlers😀😀

The Kenyatta Family Land Enough To Settle 20 Million Kenyans


095B3B4A-98EB-4E86-ACA0-F3D5EB685669.jpeg
 
ndugu, Upperhill only competes with the likes of Sandton, SA...the kind of development going on there is astonishing...hapo ndio Britam, prism, UAP, Pinnacle, Montave wote wapo bro
where is pinnacle and montave??😀😀😀
yani unaweka na renders kwenye list😛😛
 
yaani mmekuwa mkilala...Tanzania should be ahead of South Africa today....SA kuna mahali kumekauka sana...hawana mlima mrefu kabisa barani,...hawana pia wanyama pori kiasi mlio nao...kwa hiyo, tukubaliane tu kwa hili, watz mmekuwa mkilalia masikio yenu kwa muda mrefu sana...angalau Magu ameamsha engine ila its too late...watu kama SA wapo mbele sana hamuwez kuwafikia kamwe...Kenya pia na ukame wa kaskazini tupo mbele ynu kiuchumi
Ondoa Kamwe apo ,
The thing is tumechelewa kufanya mambo ya heshima...tumeanza kufanya na tutayafanya kwa hasira zote...
tunauwezo wa kupaa maana mabawa tayar tuko nayo sema tuliamua kutembea kwa muda mrefu
 
fululiza picha tu tufananishe...hii ni debate...which means anything is subject to objection....if you can prove that Posta is more modern than this then I'd really like to see you try and fail
nairobi-cityscape-capital-city-kenya-modern-east-africa-83664265.jpg
19050350_435679663462418_5421951999912443904_n.jpg
eff87f4f-11d5-4094-801c-ee2caf2805a4-original.jpeg
upload_2017-1-6_20-24-23-png.455217
DBxdtXbXsAIMMyS.jpg
414470
12009760_39_z.jpg
81c36dde65a5cf2356454b6c26dcb5e4.jpg
britam.jpg
katika hzo picha nioneshe pinnacle na montave maana umetueleza zipo zikwapi????😀😀
 
na tanzania ndio inaanza kutumia resources yani speed zote za maendeleo unazoziona ndio tumeanza kutumia resources sasa😀😀😀😀😀😀😀
Renders za station zenu za SGR si maandishi mengi na zero to show.
 
Like I said that place is nowhere near upperhill...kunaeza kua na nyumba nyingi but ni nyumba tu za kawaida unazipata place kama eastland ....upperhill has new modern classy buildings
so upper hill is big than posta??😀😀😀😀
yani ndio akili yako ilipofika mwisho
 
Back
Top Bottom