Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamuipiti Tanzania kwenye maziwa ya aina yoyote hakuna sehemu yoyote kwenye milk production mnapita Tanzania
images
original-e56b80de64ef7b1b20f342a375abb917.jpg
D0RVyAo37ysimJQ1cSMmxWfVvwiKP8CSirHEmOfVonigzXB19Ps_C9A2BDVBjTGeYBy4-dlPhAAeUW-y7mTUy4-9jI0DRRejb5IIhE2eAH3n6nSpzNDs8w=w384-h384-nc
images
images
images
images
images
images
images
images
images



look at the biggest milk producers in Africa
 
Cjawai yaona hayo maziwa ya( brokeside) cjuiii yakoje kwan et
Hahaha ni maziwa ya punda wakenya wanafikiria kila mtanzania anayajua yani kwenye mawazo yao wanafikiria hakuna kiwanda cha maziwa Tanzania nzima.

Nilishawaambia wakenya waache kujidanganya kwamba kuna products zinatengenezwa Kenya Tanzania hazitengenezwi
 
Hahaha ni maziwa ya punda wakenya wanafikiria kila mtanzania anayajua yani kwenye mawazo yao wanafikiria hakuna kiwanda cha maziwa Tanzania nzima.

Nilishawaambia wakenya waache kujidanganya kwamba kuna products zinatengenezwa Kenya Tanzania hazitengenezwi
Mbona viwanda vya maziwa tz vipo vingi sanaa kila mkoa m nlokaa kuna kiwanda cha maziwa saa wao wanaona ajabu au ni nn shida..muda mwingne uwe unawapuuzia mara nying wanakuja humu utakuta mtu hajala toka jana so cio kosa lao njaa mbaya
 
Mbona viwanda vya maziwa tz vipo vingi sanaa kila mkoa m nlokaa kuna kiwanda cha maziwa saa wao wanaona ajabu au ni nn shida..muda mwingne uwe unawapuuzia mara nying wanakuja humu utakuta mtu hajala toka jana so cio kosa lao njaa mbaya
Hahaha kweli mtu akiwa na njaa anadhani watu wote wana njaa kama yeye
 
Despite being the most blessed country in Africa after DRC, it is one of the poorest countries in the world...they have gold, lakes, big beaches, large tracts of arable land, highest mountain, diamond, tanzanite, reliable rainfall, wild animals and large gas reserves...hakuna nchi iliobarikiwa hivi afrika nzima....north africa is all desert...the only thing they have is oil...Kenya is semi arid in north and north eastern....yet, even with all these blessings, Tanzania is a big LDC country...SHAME ON YOU GUYS...
Umeongea Kwa uchungu kwelikwel, Tunapambana kaka Maneno yako yamenigusa!!
 
Umeongea Kwa uchungu kwelikwel, Tunapambana kaka Maneno yako yamenigusa!!
jikazeni...nchi imebarikiwa sana...mfano hizo nchi za north africa ni desert tupu, hawana minerals apart from oil, hawana mountains, lakes rivers, wild animals or even rainfall...but they are soo developed...look at Morocco, Egypt, Algeria etc...same can be said about other countries like Kenya...kenya north na east ni nchi kavu yote..hakuna mvua wala nini...hatuna minerals kama dhahabu, diamond...we only recently discovered oil na sio oil nyingi...but we are trying...Tanzania should do something...it has been asleep for very long...
 
Back
Top Bottom