Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Zanzibar is poor, densely populated and dirty. Lamu island and Diani are more aesthetically pleasing. Diani has the best beach in Africa while Lamu has the best preserved Swahili settlement.
Mjambiani mpumbavu. Zanzibar ya sasa inapiga mombasa hands down.
 
Imejengwa. Kwani kuna mtu alisema haitajengwa. Imejengwa lakini ni ugly
The comment you quoted was talking about Talanta Stadium not being built. Ama wewe unareply Tu every comment bila kuisoma?
 
Zanzibar is poor, densely populated and dirty. Lamu island and Diani are more aesthetically pleasing. Diani has the best beach in Africa while Lamu has the best preserved Swahili settlement.
Sasa kwa nini Zanzibar ndio famous zaidi. Ati best beaches in Africa. Beaches zilizopo Zanzibar kwenu Kenya zitabaki kuwa dreams
 
Roads in Nairobi.

1000307653.jpg
 
Ketraco owns zero of the said km, Tanzania government owns almost 98% of the distribution network, umewahi jiuliza tukiruhusu private sector kufanya hiyo shughuli.
About mwanza.
Kigoma the least developed of all is served by 400kv transmission line,
Sisi hatufanyi kwa mkumbo , shinyanga Iko served na 400kv ambako ndo kuna viwanda kuliko mwanza.
500kv ya Kenya ni private serikali yenu haina uwezo wa kujenga na mnahitaji hiyo sababu hamna umeme wa kuzalisha mpaka muombe🤣🤣🤣.
Any turkana na mandera washaacha kutumia diesel generators lini?
Punguza kuropokwa the PPP line was signed last year and it's still under construction haiko Kwa the current network. Bongoslum mkijenga 500kv nitag. Sahii fikisheni hata 220kv Mwanza muwache aibu.
 
Punguza kuropokwa the PPP line was signed last year and it's still under construction haiko Kwa the current network. Bongoslum mkijenga 500kv nitag. Sahii fikisheni hata 220kv Mwanza muwache aibu.

Kumbe inazungumziwa PPP inaonekana hamna hela , TANESCO peke yake tu inamiliki transmission networks ya 222,000 km bila PPP na morethan 3800 km za hign voltage ziko under construction kuja fikia more than 11,000 km .
Ketraco haina hata 3000km za high voltage acheni kujisifia. Leta pure hata 1km ya 500kv pure owned by ketraco.🤣🤣🤣🤣🤣
 
Punguza kuropokwa the PPP line was signed last year and it's still under construction haiko Kwa the current network. Bongoslum mkijenga 500kv nitag. Sahii fikisheni hata 220kv Mwanza muwache aibu.
Ebu waambie ketraco wafikishe hata 3000km za high voltage network kwanza la sivyo mtakuja uzwa🤣🤣🤣🤣
 
But still nothing in Kenya comes close to Zanzibar kwenye suala la kuenjoy combination of white sandy beaches, rich history, Swahili culture, spices, delicious recipes, luxurious hotels near the ocean etc
Zanzibar ni kama county , kwahiyo ndo mnailinganisha Zanzibar na the whole of kenya
 
Back
Top Bottom