Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eti eti travel with the animals 🤣 🤣 President of China mskie uku jamaaa ana dharau sana eti travel with the animals


View: https://www.tiktok.com/@kenya.railways6/video/7652648543081073938

Last month nimepanda hii kutoka Nairobi kwenda Mombasa!! Dah, nilikua, nikarudi Nairobi na ndege 🤣 , siti kuja kupanda tena maana hata hiyo first class is not worth it sababu ya bei ya juu sana!! Bora nipande ile skyward airways..
May take from the trip!!
Nairobi station imefichwa nyuma ya ma godown huko Mombasa road, what a poor choice of location. Vumbi tupu kama barabara ya kitunda.
Hivyo vitu vya economy nivigumu balaa, saa moja Tu huwezi kukaa tena utatafuta pa kusimamia.

Good thing ile treni ya kutoka Mombasa terminal to town, mnabahati sana la sivyo hakuna mtu angepanda hiyo treni. Station iko mbali sana.

All in all. Watanzani tushukuru mungu, kuna vitu wametuzidi ila sio kwenye treni. Na hapo bado sijaongelea Airport yao!! Mombasa kama soko la zamani la Kariakoo tu!! Nairobi dah!! Bora wajenge mpya tu maana dah!!
 
Last month nimepanda hii kutoka Nairobi kwenda Mombasa!! Dah, nilikua, nikarudi Nairobi na ndege 🤣 , siti kuja kupanda tena maana hata hiyo first class is not worth it sababu ya bei ya juu sana!! Bora nipande ile skyward airways..
May take from the trip!!
Nairobi station imefichwa nyuma ya ma godown huko Mombasa road, what a poor choice of location. Vumbi tupu kama barabara ya kitunda.
Hivyo vitu vya economy nivigumu balaa, saa moja Tu huwezi kukaa tena utatafuta pa kusimamia.

Good thing ile treni ya kutoka Mombasa terminal to town, mnabahati sana la sivyo hakuna mtu angepanda hiyo treni. Station iko mbali sana.

All in all. Watanzani tushukuru mungu, kuna vitu wametuzidi ila sio kwenye treni. Na hapo bado sijaongelea Airport yao!! Mombasa kama soko la zamani la Kariakoo tu!! Nairobi dah!! Bora wajenge mpya tu maana dah!!
Ona jaba.
 
Wewe hujui kiingereza tulia, Zanzibar is beutifuly ndo nini. Siwezi bishana na mtu mwenye errors za kipumbavu.
Huwezi kubishana kwa sababu mtu amekosea spelling za neno la lugha ya kikoloni, tena ni second language kwake hata sio first language
Sasa naelewa kwa nini yule jamaa wa Russia aliwadinya mademu zenu
 
Huwezi kubishana kwa sababu mtu amekosea spelling za neno la lugha ya kikoloni, tena ni second language kwake hata sio first language
Sasa naelewa kwa nini yule jamaa wa Russia aliwadinya mademu zenu
Hajakosea spelling pekeake, grammar pia amevuruga. Hata tukirekebisha spellings, sentensi yake haileti maana kimantiki. Sijadili na mpumbavu
 
But still nothing in Kenya comes close to Zanzibar kwenye suala la kuenjoy combination of white sandy beaches, rich history, Swahili culture, spices, delicious recipes, luxurious hotels near the ocean etc
Zanzibar is poor, densely populated and dirty. Lamu island and Diani are more aesthetically pleasing. Diani has the best beach in Africa while Lamu has the best preserved Swahili settlement.
 
Back
Top Bottom