Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Federation Cup - Tanzania

1781977843218.png
 
Last month nimepanda hii kutoka Nairobi kwenda Mombasa!! Dah, nilikua, nikarudi Nairobi na ndege 🤣 , siti kuja kupanda tena maana hata hiyo first class is not worth it sababu ya bei ya juu sana!! Bora nipande ile skyward airways..
May take from the trip!!
Nairobi station imefichwa nyuma ya ma godown huko Mombasa road, what a poor choice of location. Vumbi tupu kama barabara ya kitunda.
Hivyo vitu vya economy nivigumu balaa, saa moja Tu huwezi kukaa tena utatafuta pa kusimamia.

Good thing ile treni ya kutoka Mombasa terminal to town, mnabahati sana la sivyo hakuna mtu angepanda hiyo treni. Station iko mbali sana.

All in all. Watanzani tushukuru mungu, kuna vitu wametuzidi ila sio kwenye treni. Na hapo bado sijaongelea Airport yao!! Mombasa kama soko la zamani la Kariakoo tu!! Nairobi dah!! Bora wajenge mpya tu maana dah!!
JKIA nshaandika novel kabisa 🤣 yaani ni vile hakuna other airport sasa ila lile ni banda la kuku
 
Back
Top Bottom