President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 33,987
- 93,334
Federation Cup - Tanzania
I'm just saying Zanzibar has something that the whole of Kenya doesn'tZanzibar ni kama county , kwahiyo ndo mnailinganisha Zanzibar na the whole of kenya
Watanzania wenyewe pia wanajua kwamba Zanzibar ni overrated.
View: https://x.com/i/status/2068282784875970612
JKIA nshaandika novel kabisa 🤣 yaani ni vile hakuna other airport sasa ila lile ni banda la kukuLast month nimepanda hii kutoka Nairobi kwenda Mombasa!! Dah, nilikua, nikarudi Nairobi na ndege 🤣 , siti kuja kupanda tena maana hata hiyo first class is not worth it sababu ya bei ya juu sana!! Bora nipande ile skyward airways..
May take from the trip!!
Nairobi station imefichwa nyuma ya ma godown huko Mombasa road, what a poor choice of location. Vumbi tupu kama barabara ya kitunda.
Hivyo vitu vya economy nivigumu balaa, saa moja Tu huwezi kukaa tena utatafuta pa kusimamia.
Good thing ile treni ya kutoka Mombasa terminal to town, mnabahati sana la sivyo hakuna mtu angepanda hiyo treni. Station iko mbali sana.
All in all. Watanzani tushukuru mungu, kuna vitu wametuzidi ila sio kwenye treni. Na hapo bado sijaongelea Airport yao!! Mombasa kama soko la zamani la Kariakoo tu!! Nairobi dah!! Bora wajenge mpya tu maana dah!!
kapate menu kwanzaAmekuambia hivo? Ama wewe ni yeye?
lakini ile comment yako ya VAR & Goal line Tech vp? au tusubirie majani yapauke?The comment you quoted was talking about Talanta Stadium not being built. Ama wewe unareply Tu every comment bila kuisoma?
you havent seen classic trains yetClassic😂
Nyani haoni kundule.
Afcon tutaona mengi ya aibu
View: https://x.com/i/status/2068282784875970612
mbna umepanik kijanaWewe hujui kiingereza tulia, Zanzibar is beutifuly ndo nini. Siwezi bishana na mtu mwenye errors za kipumbavu.