stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,195
- 33,642
Kenya kuna over 600km of 500KV. Enyewe we ni fala. 😂😂😂Kwanini tuhitaji kuwa na manyaya mengi wakati tunaweza safirisha kwa high voltage kubwa kuliko imagine 400kv Tanzania ni 1500+ km versus kenya 1020View attachment 3611419
Ebu angalia network ya Tanzania ilivyo comprise na hapo ni 100% government owned wakat Kenya 37% ya grid transmission ndo Iko chini ya serikali.
🤣🤣🤣🤣
View attachment 3611420
Yaan Kenya inamilikiwa na corporates kwa kweli , unajisifia distribution network ambayo serikali haimiliki hata 3000km 🤣🤣🤣🤣
Ebu take your time and read this, dont be like a double pregnant ladyKenya kuna over 600km of 500KV. Enyewe we ni fala. 😂😂😂
Unajua bongoslum hakuna any 500KV line. Mwanza your 2nd biggest city hata haiko connected to a 220kv line leave alone a 400kv.
Zanzibar ni mbovu mpaka mtalii amejuta kufika 😂😂😂😂👇
View: https://x.com/i/status/2067712027473187017
Joke of the century…🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3611598View attachment 3611599
Maku talanta mmepigwa kama kwenye lile tungi la chang'aa,iangalie hiyo mercedes stadium ya USA na arusha stadium,nyie kunyan ni primitive
Kinachoendelea Zanzibar, yaani uwekezaji unaoendelea Zanzibar kwasasa, sector ya nyumba, barabara na hotels.. kitaichukua miaka 100 kwa vimji kama Mombasa kuifikia. Kaa hapo tutakuletea risiti.If absolute poverty was a place ….🤯🤯🤯
Kelis moved from Atlanta to Naivasha for good ..She owns 300 acres and now negotiating with neighbors for an extra 200 acres…She has pioneered a new movement of American black celebrities who are planning to relocate permanently or part time to Kenya. Will Smith and Toni Braxton searching for spots …😂 Nlisema mara ngapi ..Nyani haoni Kundule
This is hater behavior on a national level,
Just mad Kenya takes the spotlight in East Africa, they feel they should be the top
We have stable power than Tanzania.You don’t have reliable power supply.
With your insignificant 2000mw installed capacity, mpo chini sana.
Ebu nionyeshe hiyo power cut ya Jana tuone.Jana hamkuwa na power cut ukunduni? Kila siku kuna power cut aka power disturbances in nyangau voice 🤣🤣🤣🤣
So haijajengwa?Talanta is just big, but it's ugly af
Kenya kuna over 600km of 500KV. Enyewe we ni fala. 😂😂😂
Unajua bongoslum hakuna any 500KV line. Mwanza your 2nd biggest city hata haiko connected to a 220kv line leave alone a 400kv.
Watasimamaivi unajua wakina CAF president na FIFA president wanatakiwa kukaa apa 🤣 🤣 au wataangalia kwenye tv
View attachment 3611764
Chokora wa kiatu kimoja amesema hii ni kama ile Mercedes Benz field ya Atlanta …🤣🤣🤣🤣🤣🤣…. Next Watchie atasema yeye na real Obama ni same coz they share same profile pic…🤣🤣🤣WatasimamaView attachment 3611784
btw mko kwenye mgao vp umeisha?We have stable power than Tanzania.