Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe unaongea kuhusu magari wakati hata barabara ya kufika kule msituni sir.mia stadium ndio hakuna!
almost forgot 🤣
1781945900511.png
 
Kwanini tuhitaji kuwa na manyaya mengi wakati tunaweza safirisha kwa high voltage kubwa kuliko imagine 400kv Tanzania ni 1500+ km versus kenya 1020View attachment 3611419

Ebu angalia network ya Tanzania ilivyo comprise na hapo ni 100% government owned wakat Kenya 37% ya grid transmission ndo Iko chini ya serikali.
🤣🤣🤣🤣
View attachment 3611420
Yaan Kenya inamilikiwa na corporates kwa kweli , unajisifia distribution network ambayo serikali haimiliki hata 3000km 🤣🤣🤣🤣
So utawekewa stima kwa nyumba yako direct from a high voltage line??
Nyinyi ndio wajinga mnafikisha transformer kwa Kijiji then mnajigamba vile nchi imeendelea other than PER HOUSEHOLD.
 
So utawekewa stima kwa nyumba yako direct from a high voltage line??
Nyinyi ndio wajinga mnafikisha transformer kwa Kijiji then mnajigamba vile nchi imeendelea other than PER HOUSEHOLD.
Kumbe nyinyi stupid ukiwa na mtandao wa high voltage mkubwa utahitaji km ndogo na low na medium voltage.
Mfano 400kv kwa Tanzania inatokea jhhp kupitia central Tanzania to mwanza and kigoma , kwa point hiyo utahitaji vituo vichache vya kupozea na transformer kubwa kwa ajili ya distribution network . Ndo maana nyinyi mna km nyingi sana za 66kv kuliko Tanzania sababu inawabidi na mnezicategorize kama distribution network .
Mind you a 400 kv transmission line Inaweza transport mpaka umeme wa 1500mw ikiwa single circuit na ikiwa double Inaweza fikia 3000( sababu kuna another dam (. From Dodoma to tabora kuna double ( sababu ya mtera dam) circuit ikiwa na maana network Inaweza beba mpaka 3000 mw same kwenye distribution networks ambayo nayo Iko applicable kwa Tanzania.

Nyinyi mnahitaji km nyingi sababu nyinyi vijiji vyenu viko mbali mbali hivyo mnahitaji nyaya nyingi kusafirisha umeme wakati Tanzania distance mji na ni karibu sana.
 
Kwanini tuhitaji kuwa na manyaya mengi wakati tunaweza safirisha kwa high voltage kubwa kuliko imagine 400kv Tanzania ni 1500+ km versus kenya 1020View attachment 3611419

Ebu angalia network ya Tanzania ilivyo comprise na hapo ni 100% government owned wakat Kenya 37% ya grid transmission ndo Iko chini ya serikali.
🤣🤣🤣🤣
View attachment 3611420
Yaan Kenya inamilikiwa na corporates kwa kweli , unajisifia distribution network ambayo serikali haimiliki hata 3000km 🤣🤣🤣🤣

Connections is another measure of economic prosperity ndugu.
Mbona unajivunia 70% ya wananchi wenzako kuendelea kutumia candle, makaa na mafuta taa?

Because hamjafanya last mile connections, you have nowhere to take your excess power, other than sell it to Kenya.
Ata hizo high voltage lines utapata zinasafirisha Kenya.

How is it possible that a country twice our size has half our electricity connections?
It's like if Switzerland and Belarus were neighbors. 😂
 
Kumbe nyinyi stupid ukiwa na mtandao wa high voltage mkubwa utahitaji km ndogo na low na medium voltage.
Mfano 400kv kwa Tanzania inatokea jhhp kupitia central Tanzania to mwanza and kigoma , kwa point hiyo utahitaji vituo vichache vya kupozea na transformer kubwa kwa ajili ya distribution network . Ndo maana nyinyi mna km nyingi sana za 66kv kuliko Tanzania sababu inawabidi na mnezicategorize kama distribution network .
Mind you a 400 kv transmission line Inaweza transport mpaka umeme wa 1500mw ikiwa single circuit na ikiwa double Inaweza fikia 3000( sababu kuna another dam (. From Dodoma to tabora kuna double ( sababu ya mtera dam) circuit ikiwa na maana network Inaweza beba mpaka 3000 mw same kwenye distribution networks ambayo nayo Iko applicable kwa Tanzania.

Nyinyi mnahitaji km nyingi sababu nyinyi vijiji vyenu viko mbali mbali hivyo mnahitaji nyaya nyingi kusafirisha umeme wakati Tanzania distance mji na ni karibu sana.
Bongolala: The first country on earth ambapo watu wanaendea umeme kwa highway.
The aliens are coming to study how you did it.
Hawahitaji last mile connections, which explains why their numbers are so low.
 
Back
Top Bottom