Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Any Time Cancellation Limited ndio tegemeo la taifa mzima 😂😂
LDC kweli kweli.

Kwanza waliweza kurecover zile ndege mbili zilikamatwa Canada?

President of China anapenda kulia sana madeni ya Kenya. Kwanza lilia madeni yenu. Kenya with all its debts has never had its planes or property impounded 😂
Kila mtu anajua Kenya ipo kwenye uangalizi wa IMF.
 
Afadhali huyo kaweka sofa. Huyu hapa hata kiti ya plastic ndio hakuweka watu wanasimama kwenye "skybox" 🤣🤣🤣
View attachment 3611038
ahaaa kumbe kaweka cha plastic kuja kuangalia mpira, sasa huyu mwenzetu kaja kuangalia mgongo wa nan tena na tumempa $1.2B

1781863703671.png
 
They don't own the land. They lease. Ata hizo nyumba zenyewe wanauzia wakenya apartment units.
Kinacho waleta Kenya ni economic conditions. Greener pastures.
😂😂😂” ata hizo nyumba zenyewe wanauzia wakenya units” kuna mkenya anaeishi humo.? Nyie mnafurahia kuziona na kupiga picha tu, tunawajua mnapoishi nyie viazi.

Mnauza ardhi kwa wageni mafala, sheria yenu inaruhusu mgeni kumiliki ardhi jumla ikiwa tu kuna mkunya mpumbavu mmoja ana hold share, probably viongozi wenu wameongoza kwa kuuza ardhi yenu kwa 2% shares or less. 😂😂😂

Sisi hatumpi mgeni ardhi mjomba. 😂😂😂 na ndio mana wanakimbilia kwenu huko. Endeleeni kuuza nchi mafala nyie.

Kinachowaondoa wachina Tz kuwekeza nyumba za makazi ni sera zetu, sio chochote .. hakuna kitu mnatuzidi nyie punda labda kelele tu mitandaoni.

Misingi ya uanzishwaji wa Tz ni uhuru na kujitegemea. Huo ndio mwanya unaowaleta wawekezaji kwenu. Na ndio maana uchumi wenu unamilikiwa na foreigners, wakishindwa kuendesha sasahivi wanatuuzia waTz. 😂😂😂
 
Hakuna kitu unamiliki wewe mbilikimo, ama unadhani ile siku air tangagiza itatengeneza faida utapewa share. 😂 😂 😂 Hizo Russia na China unajicompare nazo their top airlines are not 100% owned by the government plus wakona private airlines nyingi. Wewe huna hata a single share kwa Air tangagiza na unajipiga kifua eti unamiliki nchi yenu. 😂😂😂
Ni kawaida ya wapumbavu wa kikenya wakipigwa kwa hoja wanakimbilia personal attack. 😂😂😂 jitu zima pumbavu wewe.
 
😂😂😂” ata hizo nyumba zenyewe wanauzia wakenya units” kuna mkenya anaeishi humo.? Nyie mnafurahia kuziona na kupiga picha tu, tunawajua mnapoishi nyie viazi.

Mnauza ardhi kwa wageni mafala, sheria yenu inaruhusu mgeni kumiliki ardhi jumla ikiwa tu kuna mkunya mpumbavu mmoja ana hold share, probably viongozi wenu wameongoza kwa kuuza ardhi yenu kwa 2% shares or less. 😂😂😂

Sisi hatumpi mgeni ardhi mjomba. 😂😂😂 na ndio mana wanakimbilia kwenu huko. Endeleeni kuuza nchi mafala nyie.

Kinachowaondoa wachina Tz kuwekeza nyumba za makazi ni sera zetu, sio chochote .. hakuna kitu mnatuzidi nyie punda labda kelele tu mitandaoni.

Misingi ya uanzishwaji wa Tz ni uhuru na kujitegemea. Huo ndio mwanya unaowaleta wawekezaji kwenu. Na ndio maana uchumi wenu unamilikiwa na foreigners, wakishindwa kuendesha sasahivi wanatuuzia waTz. 😂😂😂
as of latest stats on 14 people have arrived there in the whole project


View: https://x.com/NationAfrica/status/2067900192981188667?s=20
 
Back
Top Bottom