😂😂😂” ata hizo nyumba zenyewe wanauzia wakenya units” kuna mkenya anaeishi humo.? Nyie mnafurahia kuziona na kupiga picha tu, tunawajua mnapoishi nyie viazi.
Mnauza ardhi kwa wageni mafala, sheria yenu inaruhusu mgeni kumiliki ardhi jumla ikiwa tu kuna mkunya mpumbavu mmoja ana hold share, probably viongozi wenu wameongoza kwa kuuza ardhi yenu kwa 2% shares or less. 😂😂😂
Sisi hatumpi mgeni ardhi mjomba. 😂😂😂 na ndio mana wanakimbilia kwenu huko. Endeleeni kuuza nchi mafala nyie.
Kinachowaondoa wachina Tz kuwekeza nyumba za makazi ni sera zetu, sio chochote .. hakuna kitu mnatuzidi nyie punda labda kelele tu mitandaoni.
Misingi ya uanzishwaji wa Tz ni uhuru na kujitegemea. Huo ndio mwanya unaowaleta wawekezaji kwenu. Na ndio maana uchumi wenu unamilikiwa na foreigners, wakishindwa kuendesha sasahivi wanatuuzia waTz. 😂😂😂