Sisi tukiruhusu wachina wamiliki ardhi za kujenga makazi yao hawawezi kuja huko we fala. 😂😂😂 usidhania kama wachina kujenga gorofa kwenu ni kwasababu ya ushawishi wenu or something. Lahasha..
sera zenu zinakandamiza mungiki ndio mana wengi mnaishi kibra na slums zingine, ardhi yote ya kilimo mmemuuzia muizraeli yeye analima maua saivi, mungiki hamuwezi kujitosheleza hata kwa ugali tu. 😂😂😂
Sera zetu za ardhi sisi ndio zinakataza hao kujenga makazi hapa, muwekezaji mkubwa wa Nyumba bongo ni NHC you either cooperate with them or do not invest in Tz at all..
Sisi sio nyie mikundu yenu nyie. We are far better. 😂😂😂