Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Najifurahisha na nini? Ni uwongo kwamba Dar mnatumia choo ya kuchimba chini ya ardhi (pit latrine)?
maybe data will help you

1780941794542.png
 

Unajisumbua sana kuweka video nyingi hapa JF, unadhani ni nani atapoteza muda wa kuanza kuzipitia video hizo zote? Wewe weka picha kama ile picha uliyoweka ya horizontal. Weka picha ya drone view.

Kila mtu anajua kwa jinsi Nairobi ilivyo ndogo just one shot ina cover jiji zima.
JF inakutaka ulete Drone view photo
 
Unajisumbua sana kuweka video nyingi hapa JF, unadhani ni nani atapoteza muda wa kuanza kuzipitia video hizo zote? Wewe weka picha kama ile picha uliyoweka ya horizontal. Weka picha ya drone view.

Kila mtu anajua kwa jinsi Nairobi ilivyo ndogo just one shot ina cover jiji zima.
JF inakutaka ulete Drone view photo
Unataka "drone view" lakini hutaki kuona video imechukuliwa na drone!

Bongolala ni bongolala tu
 
Back
Top Bottom