Anajulia wapi ?unajua maaana ya market cap?
Endeleeni kulia, tupike hizo machozi zenu kabisa.Asante kwa kukubali kuwa mnapika data. Kwahiyo usituletee data za kupika JF wanataka real infor
make sure mnapika na hili bati litoke vizuriEndeleeni kulia, tupike hizo machozi zenu kabisa.
Data za central bank of Kenya na safaricom hazitally🤣🤣🤣Asante kwa kukubali kuwa mnapika data. Kwahiyo usituletee data za kupika JF wanataka real infor
Tunajua mnaumia sana. Mnajitahidi kupoza maumivu kwa kuweka vitu vya uongo, lakini kwa sasa ndio mwisho wenu wa kudanganya. Mambo haya yanawauma sana wakenyaEndeleeni kulia, tupike hizo machozi zenu kabisa.
Tunajua mnaumia sana. Mnajitahidi kupoza maumivu kwa kuweka vitu vya uongo, lakini kwa sasa ndio mwisho wenu wa kudanganya. Mambo haya yanawauma sana wakenya
View: https://x.com/africaupdates/status/2063807273823072574?s=20
Ukienda kwenye tovuti rasmi ya Benki Kuu ya Kenya (CBK) kwenye sehemu ya National Payments System (Mobile Payments), utakuta data zao za kila mwezi zinasoma hivi kwa wastani nairobaeData za central bank of Kenya na safaricom hazitally🤣🤣🤣
probbaly amna mkenya ashawahi kufika apa
View: https://x.com/Iamfelixtz/status/2064001412510679357?s=20
sasa alie nn? yeye ndo kawafanya mue na slums?Njwang'a mutaendelea kupokea kama kawaida. 😂 😂 😂 Cry harder, tunajua munapenda kulialia.
![]()
Picha hii ya kawaida sana. Hizo Horizontal Photograph zinaficha mengi mno. Tangu mwaka juzi tunaomba mtuletee drone view ya Nairobi mnakimbia.Njwang'a mutaendelea kupokea kama kawaida. 😂 😂 😂 Cry harder, tunajua munapenda kulialia.
![]()
mbna ipo hii apa:Picha hii ya kawaida sana. Hizo Horizontal Photograph zinaficha mengi mno. Tangu mwaka juzi tunaomba mtuletee drone view ya Nairobi mnakimbia.