Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

how does it become a fast growing economy then

1780940269246.png
 
Data za central bank of Kenya na safaricom hazitally🤣🤣🤣
Ukienda kwenye tovuti rasmi ya Benki Kuu ya Kenya (CBK) kwenye sehemu ya National Payments System (Mobile Payments), utakuta data zao za kila mwezi zinasoma hivi kwa wastani nairobae
Kila mwezi, miamala ya simu nchini Kenya inacheza kati ya KShs Bilioni 660 hadi Bilioni 720.
Ukizidisha hizi miamala ya mawakala kwa miezi 12 ya mwaka, jumla ya mwaka mzima inakuja takriban KShs Trilioni 8.0 hadi Trilioni 8.7.

Sasa hawa akina British Bulldogs sijui wanamdanganta nani?
 
Back
Top Bottom