Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mpaka tushasahau hili bati, kumbe lipogo

View attachment 3603277
downloadfile-11.jpg

😀😀😀
 
Hizi takataka majibizana nazo usiku huu zinatokaga wapi?
I told you, Any PSV being imported to TZ is always 0km and the most Decent Model.
Hakuna kitu kama second used psv being imported to Tanzania,
Hivi I thought you only have ugly faces, kumbe you brains are uglier.
Wee lofa danganya wasiojua Tanzania. Hapo Tanzania PSV van mpya zaidi ni H100 ambayo ni model ya 1989 -2003. Yani hapo bado hiace za 1970s zinapiga kazi alafu utwambie hamnunui gari mzee? Hivi unamaanisha mara ya mwisho hiace kununuliwa hapo ni 2003 ama unajaribu kudanganya nani?

Wacha nikupe mfano, kwa hiyo picha yako uliyopost mwenye hicho ki-hiace ni H100 zile za kwanza kwanza meaning ni model ya early 90s. Utakuwa mwendawazimu kutuambia kimenunuliwa zero mileage. ni hizo ndio miongoni mwa PSV van mpya zaidi hapo bongo.

img_2197-jpeg.3603308
 
Mwanamke mswahili ukimsifia amependeza atakujibu “na uzuri unachangia”
Ni kwamba kitu lazima kiwe kizuri by itself kwanza ndio hata filter ikubali, miji mibovu kama Kitale hata uapply filter vipi bado utakuwa Mbovu tu. 🤣
Sasa mbona sisi tukipost picha nzuri za Kenya huwa mnasema ni filter.🤣🤣🤣
 
Wee lofa danganya wasiojua Tanzania. Hapo Tanzania PSV van mpya zaidi ni H100 ambayo ni model ya 1989 -2003. Yani hapo bado hiace za 1970s zinapiga kazi alafu utwambie hamnunui gari mzee? Hivi unamaanisha mara ya mwisho hiace kununuliwa hapo ni 2003 ama unajaribu kudanganya nani?

Wacha nikupe mfano, kwa hiyo picha yako uliyopost mwenye hicho ki-hiace ni H100 zile za kwanza kwanza meaning ni model ya early 90s. Utakuwa mwendawazimu kutuambia kimenunuliwa zero mileage. ni hizo ndio miongoni mwa PSV van mpya zaidi hapo bongo.

img_2197-jpeg.3603308
1780914026140.png


1780914131830.png
 
Back
Top Bottom