stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,490
- 34,084
Ndo nlikua namuuliza Teargass juzi kama anajua thamani ya hayo mabasi, timu inapokea 30M miaka 4 ndo mkataba huo 🤣 kueni serious kidogo mwaiofhawaiiIriza Brand New ni TSh 1.2 Billion – 1.35 Billion+ ($460,000 – $518,000+)
Iriza Used ni TSh 750 Million – 1.14 Billion ($287,500 – $437,000)