REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,602
- 11,528
Unazidi kuexpoz ujinga 🚮Kwenye Uongozi hatuhitaji genius or whatever unachojaribu kusema. Tanzania we have stable system not a person. Nchi zote duniani zinatengeneza stable system siyo person. Magufuli alifanya hivyo kwasababu System ili m brand hivyo not him. Kwa kuwa wewe ni short sighted unadhani Magufuli alikuwa hivyo kwa sababu yake mwenyewe.
Kinachokusumbua wewe ni kwasababu ni mwanamke kuwa Rais wa Tanzania. Tena mwanamke wa kwanza kutoka Zanzibar, wote wanataka kupiga shoti ni wanaume ili ionekana wanawake kutoka Zanzibar si chochote si lolote.
Kila mtu analijua hilo
Taasisi, system zote zina eleweka na yeye yupo tu kma gogo.
Ndio maana akitoka nje ya system na hizo taasisi na kukaa kikaangoni na kitwangwa maswali anakuwa hana tofauti na bodaboda rider🚮