Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwenye Uongozi hatuhitaji genius or whatever unachojaribu kusema. Tanzania we have stable system not a person. Nchi zote duniani zinatengeneza stable system siyo person. Magufuli alifanya hivyo kwasababu System ili m brand hivyo not him. Kwa kuwa wewe ni short sighted unadhani Magufuli alikuwa hivyo kwa sababu yake mwenyewe.

Kinachokusumbua wewe ni kwasababu ni mwanamke kuwa Rais wa Tanzania. Tena mwanamke wa kwanza kutoka Zanzibar, wote wanataka kupiga shoti ni wanaume ili ionekana wanawake kutoka Zanzibar si chochote si lolote.

Kila mtu analijua hilo
Unazidi kuexpoz ujinga 🚮
Taasisi, system zote zina eleweka na yeye yupo tu kma gogo.

Ndio maana akitoka nje ya system na hizo taasisi na kukaa kikaangoni na kitwangwa maswali anakuwa hana tofauti na bodaboda rider🚮
 
Kwenye Uongozi hatuhitaji genius or whatever unachojaribu kusema. Tanzania we have stable system not a person. Nchi zote duniani zinatengeneza stable system siyo person. Magufuli alifanya hivyo kwasababu System ili m brand hivyo not him. Kwa kuwa wewe ni short sighted unadhani Magufuli alikuwa hivyo kwa sababu yake mwenyewe.

Kinachokusumbua wewe ni kwasababu ni mwanamke kuwa Rais wa Tanzania. Tena mwanamke wa kwanza kutoka Zanzibar, wote wanataka kupiga shoti ni wanaume ili ionekana wanawake kutoka Zanzibar si chochote si lolote.

Kila mtu analijua hilo
Umeongea ukweli mkuu.. kadiri ninavyoendelea kutembea Tanzania na kujishughulisha kutafuta taarifa, sasa najua ukweli kuhusu nchi yangu.
 
Unazidi kuexpoz ujinga 🚮
Taasisi, system zote zina eleweka na yeye yupo tu kma gogo.

Ndio maana akitoka nje ya system na hizo taasisi na kukaa kikaangoni na kitwangwa maswali anakuwa hana tofauti na bodaboda rider🚮
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kaa huko huko nje sisi watanzania tunafurahi. Hatutaki u genius wako. Kaa huko huko ulaya na mababeru na Maria sarungi wako
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kaa huko huko nje sisi watanzania tunafurahi. Hatutaki u genius wako. Kaa huko huko ulaya na mababeru na Maria sarungi wako
Mi sio kundi la Maria na sijawahi.
Sisi tumepoteza muda wetu wa zaidi ya mika 7 tunawapinga hao waki a Maria kwenye kila platform pamoja na hapa JF.
Labda kama wewe ni mgeni.
 
Wewe una matatizo.

Nioneshe wapi nimeclaim kimaandishi kuwa mimi ni genius🤔
Wewe huna matatizo? Kama huna matatizo kipi kimekufanya ukimbilie nchi za watu?


Nioneshe wapi nimeclaim kimaandishi kuwa mimi ni genius🤔
So kwahiyo wewe siyo genius? Kwanini unataka Rais Samia awe genius? Toa maelezo ya kueleweka
 
Mi sio kundi la Maria na sijawahi.
Sisi tumepoteza muda wetu wa zaidi ya mika 7 tunawapinga hao waki a Maria kwenye kila platform pamoja na hapa JF.
Labda kama wewe ni mgeni.

Kaka unaweza kupoteza miaka 7 unapigana na akina Maria Sarungi but propaganda zao zimekumeza na huenda umejiunga nao kwa kujua au kutokujua. Kaka it is about narrative warfare, kama mwelekeo wako wa comments unafanana na Maria Sarungi so kwenye tathimini wewe utawekwa kwenye group gani?

Kwa kifupi utawekwa kwenye group la akina Maria Sarungi
 
Wewe huna matatizo? Kama huna matatizo kipi kimekufanya ukimbilie nchi za watu?



So kwahiyo wewe siyo genius? Kwanini unataka Rais Samia awe genius? Toa maelezo ya kueleweka
Mimi sio Mkenya nikimbie nchi.
Huku nilipo ndipo niliko kulia tangu kijana mdogo.

Kiongozi ni lazima awe na maono sio kutegemea taasisi na system 🚮
 
Mimi sio Mkenya nikimbie nchi.
Huku nilipo ndipo niliko kulia tangu kijana mdogo.

Kiongozi ni lazima awe na maono sio kutegemea taasisi na system 🚮
Wewe umekulia ulaya unataka kutuchagulia sisi tuliokulia Tanzania namna ya kuishi? Watanzania tumekataa kuwa controlled na nyie diaspora.
Halafu kumbe wewe siyo raia wa Tanzania, wewe ni mzungu Tuache na Tanzania yetu, tunaipenda hivi hivi


Kiongozi ni lazima awe na maono sio kutegemea taasisi na system
Nchi haiendeshwi na maono ya kiongozi mmoja. Nchi inaendeshwa na dira. Ndio maana tulikuwa na Dira iliyoishia 2025 na sasa tupo na Dira inayoishia 2050.
Maono ya kiongozi huyo abaki nayo na familia yake
 
Mimi sio Mkenya nikimbie nchi.
Huku nilipo ndipo niliko kulia tangu kijana mdogo.

Kiongozi ni lazima awe na maono sio kutegemea taasisi na system 🚮
NB: Sisi hatuna uraia pacha. Na haya madharau yanu diaspora ya kuwadharau wanaoishi Tanzania na nyie mnajiona keki, mnajiona mnawazidi akili watanzania wote yanatuongezea hasira ya kukataa uraia pacha.

Wewe utabaki kuwa raia wa huko ulaya na siyo raia wa Tanzania. Tumechagua kuwakataa.
 
Ke
1000019672.jpg

1000019601.jpg

1000020307.jpg
1000020308.jpg
1000020305.jpg
1000020304.jpg

1000020300.jpg

1000020299.jpg

1000019691.jpg
 

Attachments

  • 1000020300.jpg
    1000020300.jpg
    51.1 KB · Views: 15
Kwanini wewe huu uzi huufatiliagi.? Au una utaahira ndani yako.? Mbona unarudishia vitu nyuma nyuma .?
Are you this desperate for a response? I don’t have to respond to you or post how you like… kama umezoeshwa hivyo sio kila mtu atakufurahisha mzee.. just ask stakehigh who posts random tweets all day everyday atakuambia 😅😅😅
 
Back
Top Bottom