Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe nawe!
Sasa swali la mtego ndio ujibu usichoulizwa?

jibu swali ulilo ulizwa, kama limeulizwa kimtego jibu kimtego sio utoe matamshi yasio na mshiko.
Hakujibu swali, alitoa tu matamshi yaliyo nje ya swali; nothing intelligent kuhusu hili.

"Swali:
How are you going to circumvent or bypass sanctions?

an appropriate reply to that question was to establish her government's strategies in dealing with sanctions.
However, if the point were to downplay the question, she could have simply answered:
1. I am not in a position to respond to that type of query."
Sasa Tanzania tupo na Sanctions? This is very trivial issue. Mbona huongelei Samia Scholarship? Unakazania vitu vidogo ili kujifurahisha wewe na Maria Sarungi 🤣 🤣 🤣 Jinga kabisa
 
Tafuta speach yake mwenyewe akikiri hilo, tena kwa lugha nyepesi:
"Sijufanya vizuri mitihani yangu"

Chaguo la Vice President la Magufuli ni Dr. Hussein Mwinyi mwenye elimu ya kweli na uwezo wa kuongoza na kazi zake wala haziitaji mbeleko na hizi honoris causae zosizo na idadi.
Hakuna Speach hiyo, hizo ni cheap Propaganda mzee, tunazijua. Hizo ni tabia za Ki Maria Sarungi kila mtu analijua hilo. Kuandika uongo


Chaguo la Vice President la Magufuli ni Dr. Hussein Mwinyi mwenye elimu ya kweli na uwezo wa kuongoza na kazi zake wala haziitaji mbeleko na hizi honoris causae zosizo na idadi.
Urais ni Taasisi siyo ufalme wa kujichagulia tu wewe unachotaka. Taasisi za Usalama ndio zinazofanya kazi siyo matakwa ya mgombea Urais. Nimekuambia wewe bado sana kujua masuala ya National Interests

Taasisi zote za usalama duniani zinafanya analysis na kuweka mtu anayefaa katika eneo husika kwa wakati husika. Sasa unataka kutuambia wewe unaakili kuwazidi watu wote waliopo huko kwenye Taasis ya Usalama?

Nilikuwa najua kuwa wewe ni mjinga lakini si kwa kiwango hiki
 
Let’ us see ur stairs n compare!
Stadium stairs inside terraces use this straight model where stairs lead directly to entry/exit points. This is the norm world over.

images - 2026-06-07T095235.778.jpeg
c211f1f6-bb1d-44de-8a62-5cf9681d0afa.jpg
images - 2026-06-07T095007.020.jpeg


Sio hiyo yenu ambayo stairs zinajipinda ndani ya terraces kama ile kitu refu ya punda
 
Tafuta speach yake mwenyewe akikiri hilo, tena kwa lugha nyepesi:
"Sijufanya vizuri mitihani yangu"

Chaguo la Vice President la Magufuli ni Dr. Hussein Mwinyi mwenye elimu ya kweli na uwezo wa kuongoza na kazi zake wala haziitaji mbeleko na hizi honoris causae zosizo na idadi.
Acha kutupigia kelele humu nenda JNICC mchana sa nane ukaulize swali lako. Nenda pale kaulzia maswali yako yote utapata ufafanuzi zaidi

1780815305127.png
 
Samia aliingia kwenye CCM Central Committee (CC) mwaka 2002 sijui wewe ulikuwa wapi. Na kabla ya hapo alikuwa mjumbe wa NEC. Unadhani kazi hiyo ni rahisi mzee.

Yaani miaka yote hiyo asijue siasa halafu wewe umzidi na Maria Sarungi wako?
1986 - Alipata advanced diploma (Kipindi hicho ilikuwa Equivalent to Degree) Public administration - Wewe 1986 ulikuwa wapi?
1992 na 1994 alisoma University of Manchester akapata - Postgraduate diploma in economics (Wewe miaka hiyo upo O-Level pale Tanga Tech ukicheza)

Sasa unakuja unaleta takwimu za uongo hapa ili kujifurahisha wewe na Maria Sarungi, Uwe mkeli acha chuki zako hizo za kipuuzi. She is a Woman and she is doing very good zaid ya wanaume wengi tu duniani kwenye mataifa yao.

Tangu Nyerere aende huko Urusi ni yeye wa pili kwenda huko. Mambo haya yanawauma sana wanaume waliowengi. Wanajiunga kumchafua kila kona. But aliyebarikiwa kabarikiwa tu, watu wenye akili wanaona
Iko hivi bwana mdogo:

Akili:
Akili ni talent mtu anazaliwa nazo.

Shule:
Shule ni nyumba za kutoa maarifa, kupunguza na kufuta ujinga.

No level of schooling can transform someone into a genius; intelligence is a natural talent, not merely a product of education.

Yote iliyoorodhesha hapa kuhusu yeye ni vielelezo tosha ya nini nasema.
Swali dogo tu lililo hitaji akili kashindwa kwakua hana akili za ziada. 🚮
 
Yet AZAM dominates every sector in bongoslum. Bakhresa na MO ndio wameshikilia FMCG industry huko bongoslum while trying to compete with Kenyan and global brands which are of superior quality. Lakini mbona uite poshomill kiwanda. 😂 😂 😂 Eti viwanda elfu mbili.
Moja ya hizo viwanda 2000 ndio hii hapa 🤣🤣🤣🤣🤣
1849697_SERIKALI_YA_VIWANDA_BONGO.jpg
 
Hakuna Speach hiyo, hizo ni cheap Propaganda mzee, tunazijua. Hizo ni tabia za Ki Maria Sarungi kila mtu analijua hilo. Kuandika uongo



Urais ni Taasisi siyo ufalme wa kujichagulia tu wewe unachotaka. Taasisi za Usalama ndio zinazofanya kazi siyo matakwa ya mgombea Urais. Nimekuambia wewe bado sana kujua masuala ya National Interests

Taasisi zote za usalama duniani zinafanya analysis na kuweka mtu anayefaa katika eneo husika kwa wakati husika. Sasa unataka kutuambia wewe unaakili kuwazidi watu wote waliopo huko kwenye Taasis ya Usalama?

Nilikuwa najua kuwa wewe ni mjinga lakini si kwa kiwango hiki
Ungelikua na hata iota ya akili ungetambua Tanzania is a captured state na kundi la mafisadi na ndio wanapanga nani awe huko Usalama.
But huna akili.
Sasa kama hiyo taasisi inafanya kazi zake vyema, ikawaje itokee yaliyo tokea kwenye uchaguzi?

Ulikuwa mtalii tu shuleni. Nikiwa Tanzania nitaanza nita anzisha hamsa ili your likes mrudishiwe school fees. 🚮
 
Iko hivi bwana mdogo:

Akili:
Akili ni talent mtu anazaliwa nazo.

Shule:
Shule ni nyumba za kutoa maarifa, kupunguza na kufuta ujinga.

No level of schooling can transform someone into a genius; intelligence is a natural talent, not merely a product of education.

Yote iliyoorodhesha hapa kuhusu yeye ni vielelezo tosha ya nini nasema.
Swali dogo tu lililo hitaji akili kashindwa kwakua hana akili za ziada. 🚮
Kwenye Uongozi hatuhitaji genius or whatever unachojaribu kusema. Tanzania we have stable system not a person. Nchi zote duniani zinatengeneza stable system siyo person. Magufuli alifanya hivyo kwasababu System ili m brand hivyo not him. Kwa kuwa wewe ni short sighted unadhani Magufuli alikuwa hivyo kwa sababu yake mwenyewe.

Kinachokusumbua wewe ni kwasababu ni mwanamke kuwa Rais wa Tanzania. Tena mwanamke wa kwanza kutoka Zanzibar, wote wanataka kupiga shoti ni wanaume ili ionekana wanawake kutoka Zanzibar si chochote si lolote.

Kila mtu analijua hilo
 
Ungelikua na hata iota ya akili ungetambua Tanzania is a captured state na kundi la mafisadi na ndio wanapanga nani awe huko Usalama.
But huna akili.
Sasa kama hiyo taasisi inafanya kazi zake vyema, ikawaje itokee yaliyo tokea kwenye uchaguzi?

Ulikuwa mtalii tu shuleni. Nikiwa Tanzania nitaanza nita anzisha hamsa ili your likes mrudishiwe school fees. 🚮
Ulikuwa wapi wewe genius wakati hao mafisadi waki capture hiyo Tanzania? 🤣 🤣 🤣 🤣 Childish argument
 
Back
Top Bottom