stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,370
- 33,847
because it will make mwaiofhawaii influential
View: https://x.com/GitobuImanyara/status/2063355340209479740?s=20
View: https://x.com/GitobuImanyara/status/2063355340209479740?s=20
Na ile ya dodoma hata haijaanza kazi![]()
Tanzania Now Handles More Daily Flights Than Kenya
New scheduled departure data shows Tanzania's combined airport network now records more daily flights than Kenya. Dar es Salaam handles 86 daily departures, Zanzibar 82, Arusha 55, Serengeti 31, and Kilimanjaro 27. Tanzania is not building a hub. It is building a multi-node aviation network tied...uchumi360.com
Una assume tu mambo halafu unaandika.NB: Sisi hatuna uraia pacha. Na haya madharau yanu diaspora ya kuwadharau wanaoishi Tanzania na nyie mnajiona keki, mnajiona mnawazidi akili watanzania wote yanatuongezea hasira ya kukataa uraia pacha.
Wewe utabaki kuwa raia wa huko ulaya na siyo raia wa Tanzania. Tumechagua kuwakataa.
Nakuomba usikilize hapa ili uweze kupata impact ya Ziara ya Rais urusi
View: https://www.youtube.com/live/FVRMqbF__54?si=eN-NRl9IIy7C-eOO
🤣Usiwe bwegebwege Hivi!
Mzee wewe IQ yako mbona hatuioni kaka? Unakosoa watu wengine. Mara unataka kiongozi mwenye maono? Mara kiongozi genius, mara kiongozi mwenye IQ kubwa!!!Hakuna mahala nimesema impact ya ziara iko hivi ama vile.
Nimekosoa tu IQ yake finyu ilipokuwa open baada ya kutoa matamshi kinyume na swali aliloulizwa.
NB: kwa kukusaidia tu soma kitabu Why Nations Fail cha Daron Acemoglu na James Robinson. Hiki ni kitabu cha taaluma ya siasa. Kinaeleza kuwa nchi zinafanikiwa kwa sababu ya kuwa na taasisi imara (inclusive institutions), na sio kwa sababu ya kuwa na viongozi wema au magenius.Hakuna mahala nimesema impact ya ziara iko hivi ama vile.
Nimekosoa tu IQ yake finyu ilipokuwa open baada ya kutoa matamshi kinyume na swali aliloulizwa.
Mimi sinaga muda wa kukosoa watu miaka yote niliopo hapa.Mzee wewe IQ yako mbona hatuioni kaka? Unakosoa watu wengine. Mara unataka kiongozi mwenye maono? Mara kiongozi genius, mara kiongozi mwenye IQ kubwa!!!
Kwa taarifa yako nchi haihitaji watu wa namna hiyo unayoitaka wewe. A nation is a system not a person
Na nusu ya hizo flights Kenya ni za Ruto tu, Kenyans are way broke to fly![]()
Tanzania Now Handles More Daily Flights Than Kenya
New scheduled departure data shows Tanzania's combined airport network now records more daily flights than Kenya. Dar es Salaam handles 86 daily departures, Zanzibar 82, Arusha 55, Serengeti 31, and Kilimanjaro 27. Tanzania is not building a hub. It is building a multi-node aviation network tied...uchumi360.com
Mimi nimeanza kusoma wewe hujazaliwa. Hivi vitabu havina masaada na wewe kwakua akili mtu huzaliwa nazo na kamwe akili haipatikani kwenye idadi ya vitabu mtu amesoma ama muda aliospend shule.NB: kwa kukusaidia tu soma kitabu Why Nations Fail cha Daron Acemoglu na James Robinson. Hiki ni kitabu cha taaluma ya siasa. Kinaeleza kuwa nchi zinafanikiwa kwa sababu ya kuwa na taasisi imara (inclusive institutions), na sio kwa sababu ya kuwa na viongozi wema au magenius.
Hiki hapa:
Kaka unahaki ya kumkosoa Rais wa Tanzania unavyoweza lakini siyo kuushusha utu wake. Unapomwita Rais Samia kuwa yeye siyo genius, hajasoma, hana IQ kubwa lengo lako ni nini? Lengo lako ni kushusha hadhi yake na kudhalilisha Taifa la Tanzania.Mimi sinaga muda wa kukosoa watu miaka yote niliopo hapa.
Yule ni mtu kwenye nafasi ya uongozi na ni haki ya kila raia kutolea kauli or kuexpres disatisfakshen zao dhidi ya pafomansi yake.
Ona sasa unavyovimba na kujiona wewe mkubwa. Ndio tabia zenu Diaspora. Unaposema umeanza kuvisoma vitabu hivyo kabla sijazaliwa unaujua umri wangu?Mimi nimeanza kusoma wewe hujazaliwa. Hivi vitabu havina masaada na wewe kwakua akili mtu huzaliwa nazo na kamwe akili haipatikani kwenye idadi ya vitabu mtu amesoma ama muda aliospend shule.
Kushindwa tu kufanyia kazi reports za CAG kila mwaka says a lot.