stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,509
- 34,084
Kwanini wewe huu uzi huufatiliagi.? Au una utaahira ndani yako.? Mbona unarudishia vitu nyuma nyuma .?The biggest Tanzanian hope and dream is being torn apart . How sadView attachment 3602566View attachment 3602568View attachment 3602570View attachment 3602571
Duh ni njaa wanataka waikimbie? We live in their heads permanent rentless client
View: https://x.com/i/status/2063296247667036182
Utachukua miaka kibao kujua siasa kaka. Unakasirika bure tu bila hata sababu. Kuna mambo mengi mno ya msingi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyasema jana, kwa sababu wewe ni Maria Sarungi oriented unajikita kwenye trivial issue, Tafsiri rahisi ya hayo unayoyakuza ni wewe hujui siasa unapost vitu kwa emotions.
Sisi tutakuhurumia tu maana hujui siasa siku ukijua utajipiga kifua na kujiona namna ulivyo mjinga. Samahani lakini kwa kukuita mjinga.
Unataka Rais atoe mkakati kwenye swali ambalo likijibiwa linaleta political tension? Samia ni mwanasiasa mbobevu anajua kucheza na maneno
Wewe unataka ajibu kulingana na matakwa yako. Hilo jibu lipo sahihi kisiasa kaka. Amka kaka utoke usingizini. Tena wachambuzi nguli wa kisiasa wamekubali jibu hilo lipo sahihi mno.
NB: Tanzania haifungamani na upande wowote, ndio maana tunafanya na watu wote. Na ni kweli Tanzania hatuna sanction au alisema uongo?
Wooow!!!!… All of Kibera slums will be gone in under 10 years … but Uswaziland aka Dreamhouses will remain the shining armor of Dar is a Slum for another 100 yrs🤪The biggest Tanzanian hope and dream is being torn apart . How sadView attachment 3602566View attachment 3602568View attachment 3602570View attachment 3602571
Kaka unahangaika na vitu vidogo mno ambavyo havina hata issue ya maana. Nimekueleza Rais alizungumza vitu vingi mno so hujaviona? Kuwa Team Magufuli au team so and so haikupi uhalali ya kusosoa kila kitu hata kitu ammbacho hakina msingi.Huyo Maria Sarungi uliyemkazania mimi kaniblockmiaka zaidi ya 7 sasa. Mimi nilikuwa team Magufuli miaka yote. Sina nilichokasirika.
Nimehilight hapo jinsi rais mwney uwezo mpana wa akili alitakiwa kusema na sio kuongea vitu usivyo ulizwa.
View attachment 3602598
Huwezi jibu hatuna sanctions, This ni clear hujaelewa swali.
She wasn't asked: Is Tanzania under sanction?
Swali:
How are you going to circumvent or bypass sanctions?
An appropriate answer to that question was to establish her government's strategies in dealing with sanctions.
However, if the point were to downplay the question, she could have simply answered:
1. "That is the kind of question that I am not in a position to answer."
Or, as Trump did the same in the Oval Office:
2. "Are you serious with that question?"
Sio majibu aliyotoa: "hatuko kwenye sanctions, hatuko kwenye sanctions kabisa"
Who asked her that? 🚮
🤣 🤣 ivi mnaskia hii chokoraaWooow!!!!… All of Kibera slums will be gone in under 10 years … but Uswaziland aka Dreamhouses will remain the shining armor of Dar is a Slum for another 100 yrs🤪
Alafu mtu anakwambia Kariakoo Kariakoo. Yani the number of 20+ floor towers under construction in Nairobi now are more than the total number of buildings in Kariakoo. 🤣 🤣 🤣
View: https://twitter.com/Bygones_24/status/2063178396541112545
"kusosoa kila kitu hata kitu ammbacho hakina msingi."Kaka unahangaika na vitu vidogo mno ambavyo havina hata issue ya maana. Nimekueleza Rais alizungumza vitu vingi mno so hujaviona? Kuwa Team Magufuli au team so and so haikupi uhalali ya kusosoa kila kitu hata kitu ammbacho hakina msingi.
Wanasiasa wote duniani wapo hivyo. Ndio maana ninakuona wewe ni mgeni wa siasa na unaeneza propaganda za akina Maria Sarungi either kwa kujua au kutokujua kwasababu ya chuki zako binafsi zisizo na kichwa wala miguu.
Wanasiasa kama Trump wamekuwa wakifanya hivyo mara nyingi tu. Kwa kuwa wewe ni mgeni wa kujua mambo unakomaa na vitu ambavyo ni very minor na unataka kuvikuza. Hizo siasa za maji taka za akina Maria Sarungi watanzania wote wanazijua.
Kuna mambo mengi tu ya msingi Rais aliyaongea tena yenye tija katika nchi yetu. Jifunze ku appliciate michango ya watu katika taifa. Hakuna mtu ambaye alikuwa hampendi Magufuli, kila mtu alikuwa anampenda tena sana, na kuna wengine walikuwa wanampenda zaidi yako, but tayari alishatutoka hatunaye tena, maisha lazima yaendelee. Tumewahi kufiwa na wazazi ambao tulikuwa tunawapenda sana lakini hayo yalipita na tukaamua kuachilia na kusonga mbele.
Tatizo lako hutaki kuachilia, hutaki kukubali kuwa Magufuli is not here any more, moyo wako hautaki kukubaliana na uhalisia, Siku moyo wako utakubali kuwa mpendwa wetu hayupo tena, hutaendelea kupambana na watu kwa kutumia emotions zako.
Wapo watu wengi sana hawataki kuachilia, Jifunze kuachilia na maisha yaendelee.
ASANTE
Alafu mtu anakwambia Kariakoo Kariakoo. Yani the number of 20+ floor towers under construction in Nairobi now are more than the total number of buildings in Kariakoo. 🤣 🤣 🤣
View: https://twitter.com/Bygones_24/status/2063178396541112545
HAKUNA FACT YOYOTE ni chuki tu inakusumbua na utoto"kusosoa kila kitu hata kitu ammbacho hakina msingi."
Wapi nimepinga kila kitu?
Mimi nimesimama sehemu moja: Samia hana uwezo mzuri wa kiakili na alifeli kuanzia primary to secondary na elimu yake ni ya kuunga-unga.
FACT.
Also"kusosoa kila kitu hata kitu ammbacho hakina msingi."
Wapi nimepinga kila kitu?
Mimi nimesimama sehemu moja: Samia hana uwezo mzuri wa kiakili na alifeli kuanzia primary to secondary na elimu yake ni ya kuunga-unga.
FACT.