stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,319
- 33,841
Duh ni njaa wanataka waikimbie? We live in their heads permanent rentless client
View: https://x.com/i/status/2063296247667036182
Sasa tueleze wewe umewahi kuwa hata monitor darasani?
We nawe!
Darasani sisi hatukufika hata 15 na ni darasa moja tu, hakuna A wala B. Throughout 1990s moja ya shule best 6 Tanzania.
Ni shule ambazo hawachukui vilaza or watu average. 🚮
Ruka unavyoweza facts hazibadilishwi kwa maneno. Sisi wote tuna lipenda taifa letu na tunalifanyia mengi sana taifa kila mtu kwa nafasi yake na mengi go unnoticed.
Tuambie sasa wewe unayejiita msomi umelifanyia nini taifa la Tanzania? Do you have any legacy in this country?
Kuishi kwa amani na utulivu, kufuata sheria bila shuruti ni moja ya mambo makubwa ya kizalendo na msingi raia hulifanyia taifa lake; na ndio chachu ya stability taifa lolote linaitaji kupiga hatua kimaendeleo. Ni mengi sana go unnoticed na ni ngumu sana vilaza kutambua mchango huu mkubwa raia wa kawaida wanatoa kwa ujenzi wa taifa lao.
Haya mambo ya kitoto kaka, we are talking about big things. Shule za vipaji sote tumesoma mzee wangu. Tena mimi nilikuwa mtaalam wa Math na Physics kila mtu ananijua shule niliyosoma. Ndio maana nakuona mwenza kama KLF hivi. But hapa tunaongelea dharau zako hizo za kumdhara Amiri Jeshi wa majeshi yote ya Ulinzi na Usalama Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Yaani wewe unajion you are the best kuliko akina Professor Mihanjo pale NDC. Huo ni wenda wazimu kaka. Punguza mihemko ya kisiasa akili zako zitarudi vizuri.Darasani sisi hatukufika hata 15 na ni darasa moja tu, hakuna A wala B. Throughout 1990s moja ya shule best 6 Tanzania.
Ni shule ambazo hawachukui vilaza or watu average. 🚮
Kaka hizo facts unazoziita ni zipi? Kuulizwa swali la kisiasa na unalijibu kisiasa ndio facts? Nimejaribu kukufundisha kwa kina zaidi lakini hutaki kuelewa sijui ni ugumu wa kuelewa au mahaba niue!!? Wanasiasa wote duniani wapo hivyo. Nikakuambia mara nyingi Trump, Putin, Macron na wengine wengi tu wanaulizwa maswali na wanatoa majibu tata au tofauti na kile walichoulizwa. Kwa sababu wanajua swali linaloulizwa lipo na mlengo wa kisiasa na linaweza kuleta utata. Mh. Samia alienda Urusi kuitangaza Tanzania na kuvutia uwekezaji hakuenda huko kuongelea masuala ya Sanctions na issue za Ulaya mashariki na siasa zao dhidi ya Urusi. Kama mwenye akili kutaelewa hilo. Mwanasiasa huwa anayakwepa maswali ambayo yanaleta msuguano usio na lazima.Ruka unavyoweza facts hazibadilishwi kwa maneno. Sisi wote tuna lipenda taifa letu na tunalifanyia mengi sana taifa kila mtu kwa nafasi yake na mengi go unnoticed.
Kuishi kwa amani na utulivu, kufuata sheria bila shuruti ni moja ya mambo makubwa ya kizalendo na msingi raia hulifanyia taifa lake; na ndio chachu ya stability taifa lolote linaitaji kupiga hatua kimaendeleo. Ni mengi sana go unnoticed na ni ngumu sana vilaza kutambua mchango huu mkubwa raia wa kawaida wanatoa kwa ujenzi wa taifa lao.
Buda hata usijieleze sana, kupewa PhD kwa kiongozi sio kuwa ndo ana akili sana , ingekuwa hivyo angeitafuta ya kusomea .Haya mambo ya kitoto kaka, we are talking about big things. Shule za vipaji sote tumesoma mzee wangu. Tena mimi nilikuwa mtaalam wa Math na Physics kila mtu ananijua shule niliyosoma. Ndio maana nakuona mwenza kama KLF hivi. But hapa tunaongelea dharau zako hizo za kumdhara Amiri Jeshi wa majeshi yote ya Ulinzi na Usalama Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Yaani wewe unajion you are the best kuliko akina Professor Mihanjo pale NDC. Huo ni wenda wazimu kaka. Punguza mihemko ya kisiasa akili zako zitarudi vizuri.
Kaka hizo facts unazoziita ni zipi? Kuulizwa swali la kisiasa na unalijibu kisiasa ndio facts? Nimejaribu kukufundisha kwa kina zaidi lakini hutaki kuelewa sijui ni ugumu wa kuelewa au mahaba niue!!? Wanasiasa wote duniani wapo hivyo. Nikakuambia mara nyingi Trump, Putin, Macron na wengine wengi tu wanaulizwa maswali na wanatoa majibu tata au tofauti na kile walichoulizwa. Kwa sababu wanajua swali linaloulizwa lipo na mlengo wa kisiasa na linaweza kuleta utata. Mh. Samia alienda Urusi kuitangaza Tanzania na kuvutia uwekezaji hakuenda huko kuongelea masuala ya Sanctions na issue za Ulaya mashariki na siasa zao dhidi ya Urusi. Kama mwenye akili kutaelewa hilo. Mwanasiasa huwa anayakwepa maswali ambayo yanaleta msuguano usio na lazima.
But wewe kwa sababu ni mfinyu wa siasa huelewi chochote unakuja na emotions zako. Nimekueleza Samia ni mbombezi wa siasa, ameanza kuwa kuingia kwenye Central Commitee ya CCM since mkapa. Sijui unalijua hilo?
Hiki ulichoandika hapa ni General opinion kila mtanzania anafanya hivyo. But wana JF wanakutaka wewe binafsi umelifanyia nini Taifa hili? Hicho ndicho cha msingi. Maana wewe umejinasibu kuwa mjuaji mzito kuliko vyuo vifuatazo vilivyompatia PHD ya heshia:
1. RUDN University - Russia
2. Korea Aerospace University - Korea
3. Chuo Kikuu cha Ankara - Uturuki
4. Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru (JNU) - India
4. CISM - International Military Sports Council - Medal of Honour / Order of Merit
5. Umoja wa Afrika - African Gender Champion Award
6. African Development Bank - Tuzo ya Maendeleo ya Miundombinu ya Babacar Ndiaye
7. Jukwaa la Kimataifa la Utalii - World Tourism Forum Lucerne (The Royal Tour)
8. Jarida la Kimataifa la Forbes - (World's 100 Most Powerful Women
NB: Tueleze wewe sasa, hao wote waliompatia tuzo unawazidi akili, majopo hayo wewe pekee unaakili kuwazidi
Ni mtu mpumbavu pekee atasimama na kuanza kupinga ovyo ovyo bila hata sababu kama akina Maria Sarungi
Tuzo ya MIUNDOMBINU KULE Ghana yeye alikiri kuwa anapokea on behalf ya baba wa miundombinu Tanzania, Dokta wa kweli, John P Magufuli.Haya mambo ya kitoto kaka, we are talking about big things. Shule za vipaji sote tumesoma mzee wangu. Tena mimi nilikuwa mtaalam wa Math na Physics kila mtu ananijua shule niliyosoma. Ndio maana nakuona mwenza kama KLF hivi. But hapa tunaongelea dharau zako hizo za kumdhara Amiri Jeshi wa majeshi yote ya Ulinzi na Usalama Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Yaani wewe unajion you are the best kuliko akina Professor Mihanjo pale NDC. Huo ni wenda wazimu kaka. Punguza mihemko ya kisiasa akili zako zitarudi vizuri.
Kaka hizo facts unazoziita ni zipi? Kuulizwa swali la kisiasa na unalijibu kisiasa ndio facts? Nimejaribu kukufundisha kwa kina zaidi lakini hutaki kuelewa sijui ni ugumu wa kuelewa au mahaba niue!!? Wanasiasa wote duniani wapo hivyo. Nikakuambia mara nyingi Trump, Putin, Macron na wengine wengi tu wanaulizwa maswali na wanatoa majibu tata au tofauti na kile walichoulizwa. Kwa sababu wanajua swali linaloulizwa lipo na mlengo wa kisiasa na linaweza kuleta utata. Mh. Samia alienda Urusi kuitangaza Tanzania na kuvutia uwekezaji hakuenda huko kuongelea masuala ya Sanctions na issue za Ulaya mashariki na siasa zao dhidi ya Urusi. Kama mwenye akili kutaelewa hilo. Mwanasiasa huwa anayakwepa maswali ambayo yanaleta msuguano usio na lazima.
But wewe kwa sababu ni mfinyu wa siasa huelewi chochote unakuja na emotions zako. Nimekueleza Samia ni mbombezi wa siasa, ameanza kuwa kuingia kwenye Central Commitee ya CCM since mkapa. Sijui unalijua hilo?
Hiki ulichoandika hapa ni General opinion kila mtanzania anafanya hivyo. But wana JF wanakutaka wewe binafsi umelifanyia nini Taifa hili? Hicho ndicho cha msingi. Maana wewe umejinasibu kuwa mjuaji mzito kuliko vyuo vifuatazo vilivyompatia PHD ya heshia:
1. RUDN University - Russia
2. Korea Aerospace University - Korea
3. Chuo Kikuu cha Ankara - Uturuki
4. Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru (JNU) - India
4. CISM - International Military Sports Council - Medal of Honour / Order of Merit
5. Umoja wa Afrika - African Gender Champion Award
6. African Development Bank - Tuzo ya Maendeleo ya Miundombinu ya Babacar Ndiaye
7. Jukwaa la Kimataifa la Utalii - World Tourism Forum Lucerne (The Royal Tour)
8. Jarida la Kimataifa la Forbes - (World's 100 Most Powerful Women
NB: Tueleze wewe sasa, hao wote waliompatia tuzo unawazidi akili, majopo hayo wewe pekee unaakili kuwazidi
Ni mtu mpumbavu pekee atasimama na kuanza kupinga ovyo ovyo bila hata sababu kama akina Maria Sarungi
Wewe ni timu Maria Sarungi sina cha kuongea na wewe cha ziada. ByeTuzo ya MIUNDOMBINU KULE Ghana yeye alikiri kuwa anapokea on behalf ya baba wa miundombinu Tanzania, Dokta wa kweli, John P Magufuli.
Ulimwengu umeshatambua moja ya weakness zake kubwa ni kutunukiwa honoris causae na kuitwa Dokta. Ni kawaida, Trump yeye anataka sana "peace prize" jambo lililo peleka FIFA kumpa baada ya kukosa ile nyingine na yule mwana mama wa Venezuela kuenda kumpa yake. Ni ulimbukeni tu! Kwa sasa, Samia ndio Rais mwenye hizi honoris causae nyingi ulimwenguni.
Yaani ufeli la saba, upate zero form 4 na 6 then uibukie India na elimu ya kuunga-unga halafu honoris causae zianze kunyesha tu ndani ya 5yrs ya urais wako🚮
Nyerere ndani ya 20yrs ya urais hajawahi kupata hizi.🚮
Wewe kama msomi hebu nenda kasome masterwork ya Plato The Republic ndio utajifunza zaidi. But ngoja niweke vionjo vichache vilivyomo ndani hapa ili tuende pamoja.Buda hata usijieleze sana, kupewa PhD kwa kiongozi sio kuwa ndo ana akili sana , ingekuwa hivyo angeitafuta ya kusomea .
Wewe nawe!Kwa sababu wanajua swali linaloulizwa lipo na mlengo wa kisiasa na linaweza kuleta utata.
Tafuta speach yake mwenyewe akikiri hilo, tena kwa lugha nyepesi:Wewe ni timu Maria Sarungi sina cha kuongea na wewe cha ziada. Bye
NB: Unayemuongelea kuwa alifeli la saba ni nani? Unayemuongelea kuwa alipata zero 4 na 6 ni nani? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Maria Sarungi amekuharibu
Samia aliingia kwenye CCM Central Committee (CC) mwaka 2002 sijui wewe ulikuwa wapi. Na kabla ya hapo alikuwa mjumbe wa NEC. Unadhani kazi hiyo ni rahisi mzee.Tuzo ya MIUNDOMBINU KULE Ghana yeye alikiri kuwa anapokea on behalf ya baba wa miundombinu Tanzania, Dokta wa kweli, John P Magufuli.
Ulimwengu umeshatambua moja ya weakness zake kubwa ni kutunukiwa honoris causae na kuitwa Dokta. Ni kawaida, Trump yeye anataka sana "peace prize" jambo lililo peleka FIFA kumpa baada ya kukosa ile nyingine na yule mwana mama wa Venezuela kuenda kumpa yake. Ni ulimbukeni tu! Kwa sasa, Samia ndio Rais mwenye hizi honoris causae nyingi ulimwenguni.
Yaani ufeli la saba, upate zero form 4 na 6 then uibukie India na elimu ya kuunga-unga halafu honoris causae zianze kunyesha tu ndani ya 5yrs ya urais wako🚮
Nyerere ndani ya 20yrs ya urais hajawahi kupata hizi.🚮