Kwa picha yako tayari naona progress, stands zilikua kwa upande wa VIP saivi naona pande moja imebakia.
pamoja na udogo wake Zanzibar ina marine vessels kuliko Kunyaland nzima!Ila tu Zanzibar!!! 😳😳🤣🤣🤣🤣
View attachment 2764294
Usisahau na uswazipamoja na udogo wake Zanzibar ina marine vessels kuliko Kunyaland nzima!
Hii nyumba haiwezi kuwa Kunyaland hata siku moja, umeiba mahali kama kawaida yenuJenga ushago initiative in Kenya
View attachment 2764309
Sasa iyo Talanta iko wapi, sisi tayari tuna uwanja wa kisasa unaobeba watu zaidi ya 60k na sasa upo kwenye maboresho, we unaongea kitu ambacho hamna.Final ni hapo,
Hakuna final kwa uwanja with running track!!!!
Talanta is the only way.
Kumekucha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wakunya ni lini mtastaarabika kenge nyinyi 😅😅😅😅😅mna roho mgumu khaa sijapata kuona😀😀😀View attachment 2764330View attachment 2764331View attachment 2764332
Let me guess….. uswazistan au blackout….🤣🤣🤣🤣Nairobi's panaroma. Someone to give us such from DAR. Kuna kitu nataka kuona
View attachment 2764299
Sasa iyo Talanta iko wapi, sisi tayari tuna uwanja wa kisasa unaobeba watu zaidi ya 60k na sasa upo kwenye maboresho, we unaongea kitu ambacho hamna.
Kwa uchumi wenu ulivyo hovyo plus viongozi waongo waongo unadhani mnaweza kujenga kiwanja chenye ukubwa sawa na Mkapa stadium? Mpaka hivi tunaongea sisi kaka zenu tushaanza maandalizi tangu mwaka jana, nyinyi bado hata serikali haijasema chochote, mnaongea vitu vinavyosemwa mitandaoni na sio vilivyosemwa na serikali yenu, mnaakili kweli nyinyi? Mjenge uwanja usio na eneo la kukimbia alafu mtautumia kwa mchezo gani? Mpira kwenu hamna?
CAF watakuwa wajinga kiasi gani wasipeleke fainali Tz kwenye muamko wapeleke Kenya hata ligi tu inabebwa na watz, nani atakuja kuujaza huo uwanja?
FYI, hizo fainali tutaandaa wenyewe, nyie nchi za EA ni maskini hamuwezi kuandaa AFCON, kama unabisha niko nimekaa paleee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo huwa anaponda michuano ya Africa kama Afcon, inakuaje leo anakenua au huwa ni wivu kwa sababu timu zao hazifanyi vizuri!Afcon ni world cup?
Atleast mfike levels cecafa haijawahi fika tuwatambue.
Afcon ni upuzi ingine Haina maana hapa Africa
Mpaka hivi tunaongea timu zenu itabidi zije kucheza Tz kwa mechi za kimataifa.Mbona your new national stadiums zinakaa kama zinazojengwa na county hapa Kenya. 😂 😂
Unaambiwa nchi nzima imeripuka kwa furaha kwamba sasa wataenda AFCON, wakati sisi tayari tunaenda AFCON mwakani, tofauti ni kama jua na mwezi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyo huwa anaponda michuano ya Africa kama Afcon, inakuaje leo anakenua au huwa ni wivu kwa sababu timu zao hazifanyi vizuri!
Utoto Kama huu peleka facebook.Wakunya ni lini mtastaarabika kenge nyinyi 😅😅😅😅😅mna roho mgumu khaa sijapata kuona😀😀😀View attachment 2764330View attachment 2764331View attachment 2764332