El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936

















engineer Olunga ...

















mwaka jana mwezi wa tano design and build so 2019 october tunapokea phase ya kwanza alaf 2020 tunapokea second phase😀😀😀😀😀😀Yenu ilianza lini?
Hata kama still the gap is bigger, how much is one liter of cooking oil in Kenya?hii ni mumias sugar,,,ndio sugar expensive kenya...
bei inategemea na different companies
Depends kama ni sokoni ama supermarket.Hata kama still the gap is bigger, how much is one liter of cooking oil in Kenya?
hii no habari au majigambo?Michael Olunga becomes the first Kenyan to score in [HASHTAG]#LaLiga[/HASHTAG] and the first Girona player to score a hatrick EVER!
[HASHTAG]#TheScoreKE[/HASHTAG]
kwasababu Una pesa au kwasababu ipi?Depends kama ni sokoni ama supermarket.
bei za,sokoni ni cheap sana but mimi binafsi siezi nunua kitu sokoni...
50kg of cement in tanzania is 450kshHata kama still the gap is bigger, how much is one liter of cooking oil in Kenya?
mwaka jana mwezi wa tano design and build so 2019 october tunapokea phase ya kwanza alaf 2020 tunapokea second phase😀😀😀😀😀😀
wacha hayo maswali...mimi nikiuliza napata maswali kamaOna Hata sijamaliza kuandika angalia google inachoniletea
![]()
Hahahaha... Hahahaha very funny.Katika harakati zangu za kuongeza uwekezaji Jijini Dar.. February anakuja kufanya survey apate maeneo ya beach tuongeze ajira kwa vijana wetu..
Dubai - Dar
![]()
![]()
![]()
sio kwa hasira hiloukurasa sio tija kumbuka yenu ilianza 4 yrs ago so usitoke jasho kuelezea nonsense😀😀😀
Hahaha haya majamaa ni shida tupu hovyo kabisa sasa nashangaa bragging za nini wakati makapuku wa kutupwa Nairobi city center kuna nyumba thousands za udongo ni maajabu50kg of cement in tanzania is 450ksh
50kg of cement in kenya is 750ksh so unategemea nani atajenga nyumba ya blocks we huoni nyumba zao ni nyumba za mabati na udongo😀😀😀😀😀
99% of all multinational companies in East Africa have headquarters in Kenya....unategemea bei za bidhaa ziwe kama za nchi LDC? nchi isiyo na umuhimu wowote kwa wawekezaji wa nje50kg of cement in tanzania is 450ksh
50kg of cement in kenya is 750ksh so unategemea nani atajenga nyumba ya blocks we huoni nyumba zao ni nyumba za mabati na udongo😀😀😀😀😀
99% of all multinational companies in East Africa have headquarters in Kenya....unategemea bei za bidhaa ziwe kama za nchi LDC? nchi isiyo na umuhimu wowote kwa wawekezaji wa njeHahaha haya majamaa ni shida tupu hovyo kabisa sasa nashangaa bragging za nini wakati makapuku wa kutupwa Nairobi city center kuna nyumba thousands za udongo ni maajabu