Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Hawa wasenge hawana uwezo wa ku maintain quality ya infrastructure yoyote wanayojengewa, just imagine hii ni kasarani 👇👇
Screenshot_20260527_174749_Facebook.jpg
 
we mzee, viwanja lazima viendelee kujengwa! bila viwanja AFCON tutakua tunaiskia tu kwa watu, apa tunatakiwa kufikisha viwanja 12 kwan ndo vigezo vya world cup na pia tayar nchi yetu inapeleka timu 4 CAF, na tunataka kuhost mashindano ya afrika yote

Bila hivo GDP ya $1 trillion utaiskia tu mambele
Najjua utabisha ila investment za Viwanja na Barabara unaona kipi kinahitajika zaidi kwa sasa

1. Mfano Mpanda kigoma hamna lami
2. Itigi to Chunya
3. Ifakara to Songea

Unahisi kipi kitatusogeza zaidi kwenye GDP ya 1 trillion .

Ku host Afcon ? Jaribu kucheki impact ya Afcon kiuchumi .

Plus viwanja 6 vinaatosha ku host afcon kama tunahitaji kikijengwa kinginge mji kama Mwanza Afcon inakuwa hosted vizuri .

Argument yangu ni kuwa viwanja ni misprioritization ya fund kwa nchi kama yetu wakati huu tunahitaji Roads , SGr iishe , Grid tujenge 400kv za maana na sio kuzika hela kwenye viwanja vya tournament za mwezi mmoja
 
Najjua utabisha ila investment za Viwanja na Barabara unaona kipi kinahitajika zaidi kwa sasa

1. Mfano Mpanda kigoma hamna lami
2. Itigi to Chunya
3. Ifakara to Songea

Unahisi kipi kitatusogeza zaidi kwenye GDP ya 1 trillion .

Ku host Afcon ? Jaribu kucheki impact ya Afcon kiuchumi .

Plus viwanja 6 vinaatosha ku host afcon kama tunahitaji kikijengwa kinginge mji kama Mwanza Afcon inakuwa hosted vizuri .

Argument yangu ni kuwa viwanja ni misprioritization ya fund kwa nchi kama yetu wakati huu tunahitaji Roads , SGr iishe , Grid tujenge 400kv za maana na sio kuzika hela kwenye viwanja vya tournament za mwezi mmoja
wacha kufanya comparative assessment kwenye kila kitu!
 
we mzee, viwanja lazima viendelee kujengwa! bila viwanja AFCON tutakua tunaiskia tu kwa watu, apa tunatakiwa kufikisha viwanja 12 kwan ndo vigezo vya world cup na pia tayar nchi yetu inapeleka timu 4 CAF, na tunataka kuhost mashindano ya afrika yote

Bila hivo GDP ya $1 trillion utaiskia tu mambele
Yani GDP ya 1 trillion usd inachangiwaje na uwepo wa viwanja vya mipira!?

Africa ina watu wajinga sana

Ni Taifa gani duniani limepiga hatua kwa kuwa na viwanja vingi vya michezo duniani!?
 
Kwahio ukaamua kuokota news utuletee apa, kwhaio wameskip irizar sio
Wewe ni lini utajua types of bus bodies? Unaona Marcopolo ndio unatajwa hapo wewe unakuja na Irizar. Learn about vehicles first ndio uanze kuziongelea.
 
Najjua utabisha ila investment za Viwanja na Barabara unaona kipi kinahitajika zaidi kwa sasa

1. Mfano Mpanda kigoma hamna lami
2. Itigi to Chunya
3. Ifakara to Songea

Unahisi kipi kitatusogeza zaidi kwenye GDP ya 1 trillion .

Ku host Afcon ? Jaribu kucheki impact ya Afcon kiuchumi .

Plus viwanja 6 vinaatosha ku host afcon kama tunahitaji kikijengwa kinginge mji kama Mwanza Afcon inakuwa hosted vizuri .

Argument yangu ni kuwa viwanja ni misprioritization ya fund kwa nchi kama yetu wakati huu tunahitaji Roads , SGr iishe , Grid tujenge 400kv za maana na sio kuzika hela kwenye viwanja vya tournament za mwezi mmoja
Kwa Africa kupata maendeleo ya kweli tusaau, acha tu tujiliwaze na michezo mana maendeleo ya kweli hayawezekani kuwepo Africa, tuna watu wana tamaa sn, so wacha tujenge maviwanja tu yatusahaulishe dhiki tulizinazo.
 
Back
Top Bottom