Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa Africa kupata maendeleo ya kweli tusaau, acha tu tujiliwaze na michezo mana maendeleo ya kweli hayawezekani kuwepo Africa, tuna watu wana tamaa sn, so wacha tujenge maviwanja tu yatusahaulishe dhiki tulizinazo.
Serikali kazi yake ni sera sio maendeleo, All unachokiona kutoka nchi za magharibi ni juhudi za mtu mmoja mmoja mfano simu unayotumia ni juhudi za watu
 
Najjua utabisha ila investment za Viwanja na Barabara unaona kipi kinahitajika zaidi kwa sasa

1. Mfano Mpanda kigoma hamna lami
2. Itigi to Chunya
3. Ifakara to Songea

Unahisi kipi kitatusogeza zaidi kwenye GDP ya 1 trillion .

Ku host Afcon ? Jaribu kucheki impact ya Afcon kiuchumi .

Plus viwanja 6 vinaatosha ku host afcon kama tunahitaji kikijengwa kinginge mji kama Mwanza Afcon inakuwa hosted vizuri .

Argument yangu ni kuwa viwanja ni misprioritization ya fund kwa nchi kama yetu wakati huu tunahitaji Roads , SGr iishe , Grid tujenge 400kv za maana na sio kuzika hela kwenye viwanja vya tournament za mwezi mmoja
We jamaa, AFCON lengo kuu ni kutangaza nchi watalii waje, serikali ipate FOREIGN RESERVE ndo iweze sasa kufanya manunuzi ya nje ya nchi, ebu kajitafute kwanza
 
Najjua utabisha ila investment za Viwanja na Barabara unaona kipi kinahitajika zaidi kwa sasa

1. Mfano Mpanda kigoma hamna lami
2. Itigi to Chunya
3. Ifakara to Songea

Unahisi kipi kitatusogeza zaidi kwenye GDP ya 1 trillion .

Ku host Afcon ? Jaribu kucheki impact ya Afcon kiuchumi .

Plus viwanja 6 vinaatosha ku host afcon kama tunahitaji kikijengwa kinginge mji kama Mwanza Afcon inakuwa hosted vizuri .

Argument yangu ni kuwa viwanja ni misprioritization ya fund kwa nchi kama yetu wakati huu tunahitaji Roads , SGr iishe , Grid tujenge 400kv za maana na sio kuzika hela kwenye viwanja vya tournament za mwezi mmoja
Alafu kingine, nchi inahitaji equal investment kote kote, huezi kila budget unawaza barabara, nikupe mfano Serikali inapokea kodi nyingi na mapato kutoka kwenye mpira, wachezaji na club wote wanalipa kodi na serikali inapokea mapato mengi sana, kwa mahesabu ya haraka mpira unagusa watu karibia laki 2, namaanisha kuna wachezaji, madaktari, marefa, makocha, umo umo kuna media houses, saahv ndo usipime kuna masponsor wote hawa wanamwaga mabilioni

Ukiacha na hizo timu zetu zote zinashiriki michuano mikubwa CAF champions league na caf confideration

Wanaingiza pesa nyingi vibaya mno hapo hujajumlisha mahoteli, usafiri woooote hawa wanategemea mnyororo wa mpira


Sasa wewe chagua, upeleke barabra uyole ama uboreshe mazingira ya mpira uendelee kukusanya mabilioni


Apo hatujaongelea hospitali zinazotibu wagonjwa. Mawakala wa ticket wewe utaamua mwenyewe nani atakufukisha trillion moja mapema



And finally michezo inatangaza tanzania kote., mfano saahv tupo fainali ya AFCON apo unaongelea watalii wangap? Wote hao wanakuletea pesa za kigeni uweze kununua mafuta ambayo ndo huduma za lami zipo umo umo
 
Hawa uganda nao waache kujenga mabakuli kama talanta, wajenge viwanja vya kisasa, ule uwanja wao bado wa ki Africa kama talanta au nakivubo.
Sidhan kama watakuja kupata hio BID standard walioweka moroco inahitaji viwanja vya kisasa
 
Tunatakiwa tuandae pekeetu miaka michache ijayo. Tutakuwa na Mkapa, Arusha, Dodoma, Fumba, na Jangwani na wakati huo Simba hawatakubali nao watapambana wapate japo kiwanja cha mpata mpatae.
Pamoja Bid ilikua ya tanzania only. Karia alikuja kuleta siasa ndan yake ndo tatizo likaanzia apo, ila Msigwa alisema tumejifunza twende nalo ivo ivo kwa sasa then haitajirudia
 
Tunatakiwa tuandae pekeetu miaka michache ijayo. Tutakuwa na Mkapa, Arusha, Dodoma, Fumba, na Jangwani na wakati huo Simba hawatakubali nao watapambana wapate japo kiwanja cha mpata mpatae.
Ila nn, tushajifunza kwenye hili acha lipite, Baada ya hapa sasa ndo kila mtu ajipambanie, kwanza wanadaiwa $1.3B uwnja mmoja
 
Back
Top Bottom