Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kuna watu wamejenga training ground kule wajir makelele mengi

View: https://www.instagram.com/p/DY4nMYRs1s8/

I hope hatutojenga tena viwanja baada ya huu hata kwa miaka 5 ijayo, such a wastage of money . Hizi hela zolitakiwa kwenda kwenye barabara . Vanity projects , stadium hazina revenue kubwa na impact kiuchumi kwa Tz ni ndogo

Good project tho but hii afcon imefanya Tz ispend almost 400mil usd kwenye maandalizi
 
I hope hatutojenga tena viwanja baada ya huu hata kwa miaka 5 ijayo, such a wastage of money . Hizi hela zolitakiwa kwenda kwenye barabara . Vanity projects , stadium hazina revenue kubwa na impact kiuchumi kwa Tz ni ndogo

Good project tho but hii afcon imefanya Tz ispend almost 400mil usd kwenye maandalizi
we mzee, viwanja lazima viendelee kujengwa! bila viwanja AFCON tutakua tunaiskia tu kwa watu, apa tunatakiwa kufikisha viwanja 12 kwan ndo vigezo vya world cup na pia tayar nchi yetu inapeleka timu 4 CAF, na tunataka kuhost mashindano ya afrika yote

Bila hivo GDP ya $1 trillion utaiskia tu mambele
 
Habari ndio hiyo.

1000285666.jpg
 
Back
Top Bottom