stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,380
- 33,848
wanapenda hela na sifa hao kinoma, si unakumbuka mrusi yuleWakenya na ufukara wa kutokufikiri wanaleta janga kwao na kwetu pia kwa ahadi za kulambishwa pipi
wanapenda hela na sifa hao kinoma, si unakumbuka mrusi yuleWakenya na ufukara wa kutokufikiri wanaleta janga kwao na kwetu pia kwa ahadi za kulambishwa pipi
Uwanja wa dodoma ndio huo tena. Yooo huu uwanja utakua na view nzuri kinoma noma. Cheki vitu hivyo. 👇🏾
View: https://www.instagram.com/reel/DY6gM3jM-RN/?igsh=MWw5cTVmdGVwdTQ4cg==.
Ratiba yake ya ujemzi ni miaka miwili, utachelewa.huo uwanja ni wa backup
sema nlitamani uwe kwenye afcon because unafikika kirahisi, mfano Unaweza kucheki mechi pale Mkapa then Ukaswap chap 3 hrs mpaka dodoma na treniRatiba yake ya ujemzi ni miaka miwili, utachelewa.
Waache wapajenge kwanza.. kuna siku tuta host pekeetu haya mashindano.sema nlitamani uwe kwenye afcon because unafikika kirahisi, mfano Unaweza kucheki mechi pale Mkapa then Ukaswap chap 3 hrs mpaka dodoma na treni
Uganda washaweka bid ya peke yao AFCON, yaani viumbe tunawasaidia alafu wana mdomo sasa watakula jeuri yaoWaache wapajenge kwanza.. kuna siku tuta host pekeetu haya mashindano.
🤣🤣🤣 mlishaambiwa Football in Tanzania is light years ahead bado Teargass akabisha
View: https://x.com/stanley_kamakei/status/2060066002835030261?s=20