Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

PPP will never work well in a poor country like Tanzania where the population has low purchasing power. That’s why you have no such projects up to this day …
My advise is probably a JNIA airport hotel since air travelers have money. Wait till you toll that Kibaha expressway and you will realize how poor you are ..😆😆😆😆
Kenyans are simply unable to buy ugali flour. Because the salary of a Kenyan is very low compared to a Tanzanian
 
Lakini wana GDP kubwa na purchasing power kubwa 😁
Wangekuwa na purchasing power kubwa wasingekuwa anaandamana kwa kupanda kwa bei ya unga wa mahindi.
Kumbuka minumum Salary yao ni Ksh 13,280 kwa watumishi wa serikali sawa na Tsh 250,000 wakati mtanzania analipwa Tsh 500,000.

Hii kaka ndio inaitwa purchasing power.

Ndio maana Tanzania imeweza kuzalisha billionaires kutokana na mauzo ya ndani ya nchi. Mo kapata pesa na kuwa billionaires kwa kufanya biashara Tanzania.
 
Hii wakiiona wakenya wataumia sana. Naomba muifiche Teargass asiione, akiiona tu ataanza kutukana matusi ya nguoni

1779720284568.png


Source:
 
Back
Top Bottom