Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kunyaland uchumi wao ni wa makaratasi hakuna kitu chochote, country of the lazy bones

Screenshot_20260525-181926.jpg
 
Kunyaland uchumi wao ni wa makaratasi hakuna kitu chochote, country of the lazy bones

View attachment 3594899
Kaka nadhani Tanzania tumeamua ku hide mambo mengine ili kuhakikisha kuwa tunakuwa na strong inclusive Economy. Siku ikitokea tunafanya GDP rebasing kuna watu watalia sana. Just imagin Tanzania ikiingiza hiz transactions kwenye GDP:
  • transaction fee,
  • telecom commission,
  • agent income,
  • VAT,
  • excise duty,
  • fintech services,
GDP ya Tanzania itapaa sana. Lakini itasaidia nini kama tunakuwa na namba kubwa lakini maisha ni yaleyale?

Halafu kwakuwa GDP yetu ni ndogo tunapata Mikopo yaenye masharti nafuu, na wengine wanatuletea ruzuku.
 
Kunyaland uchumi wao ni wa makaratasi hakuna kitu chochote, country of the lazy bones

View attachment 3594899
You're a moron.
Safaricom makes more money than bongolala's entire stock market.
There is literally no competition in East and Central Africa. Stick to your matope economy.

saf.JPG
 
Hii ipo ukurasa wa 44 wakenya wasiione wataumia mno Teargass najua atalia

View attachment 3594865

NB: Jumla ya Transaction 742,751,361 kwa mwezi Machi maana yake ni zaidi ya milioni 24 tranactions kwa siku,
Au kwa lugha rahisi ni karibu transaction 1,000+ kila sekunde
Congrats.
All your carriers combined only have 895 Billion more transactions to go ndio wafikie Safaricom. And that's just on the mpesa app.

tt.JPG
 
Congrats.
All your carriers combined only have 895 Billion more transactions to go ndio wafikie Safaricom. And that's just on the mpesa app.

View attachment 3594920
Kwanza unatudanganya hapo kuna technical problem:
...a total of KShs 2.3 trillion transaction value via the app across 896.2 billion transactions.

If you divide the total value (KShs 2.3 trillion) by the number of transactions (896.2 billion), the average value per transaction would be roughly KShs 2.50 (less than 3 Kenyan cents) 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

The writer almost certainly swapped the words "million" and "billion", or mixed up the scale of the metrics🤣🤣🤣🤣

Wakenya hawaaminiki

 
Kwanza unatudanganya hapo kuna technical problem:
...a total of KShs 2.3 trillion transaction value via the app across 896.2 billion transactions.

If you divide the total value (KShs 2.3 trillion) by the number of transactions (896.2 billion), the average value per transaction would be roughly KShs 2.50 (less than 3 Kenyan cents) 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

The writer almost certainly swapped the words "million" and "billion", or mixed up the scale of the metrics🤣🤣🤣🤣

Wakenya hawaaminiki

The writer is Safaricom revenue report. Take it up with them.

The numbers are so unbelievably big you can't even believe your eyes. Kenya is playing in the EPL while you're playing village football with debes instead of a football.
If Mpesa was a company, it would be the biggest company in bongolala.


2023
star.JPG
 
Kaka nadhani Tanzania tumeamua ku hide mambo mengine ili kuhakikisha kuwa tunakuwa na strong inclusive Economy. Siku ikitokea tunafanya GDP rebasing kuna watu watalia sana. Just imagin Tanzania ikiingiza hiz transactions kwenye GDP:
  • transaction fee,
  • telecom commission,
  • agent income,
  • VAT,
  • excise duty,
  • fintech services,
GDP ya Tanzania itapaa sana. Lakini itasaidia nini kama tunakuwa na namba kubwa lakini maisha ni yaleyale?

Halafu kwakuwa GDP yetu ni ndogo tunapata Mikopo yaenye masharti nafuu, na wengine wanatuletea ruzuku.
Sure, lakini kitu kingine GDP tunayokadiriwa as a socialist country ni tofauti na nchi ambazo ni pro west, mfano nchi kama north Korea, Iran na nchi nyingine ambazo hazipo vizuri na western wamekadiriwa GDP ndogo ambazo hazina uhalisia na chumi zao.
 
Back
Top Bottom