Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukienda huko Nairaland aisee wanawapiga kamba kiasi cha wanaijeria kuamini Kenya ni Level za kina SA na Egypt, huwa nacheka sana, huko Duniani they send these carefully selected photos of Nairobi, together with their Cooked GDP which is sometimes good, ( of course Ni vizuri kujitangaza kwa mazuri yako, kwa hapa nawapongeza) BUT walichokosea ni kutuletea Tambo majirani zao tunaovuka boda kuingia kwao na kurudi daily, wakajisahau kuwa tunawajua hadi vitanda wanavyolalia
Pia
Kuna ripoti inaonyesha wakenya mil 3 wameathirika na Funza,
Hebu fikiria mazingira ya mtu kupata funza, ni mazingira ya ufukara wa hali ya juu, ni wazi huko vijijini kwao ni kama Ufukara wa kutupwa

Hiyo picha ni ya mwaka Jana huko Kenya kwenye baadhi ya Kampeni za kusaidia waathirika wa Funza.
View attachment 673646
There is no single city/town that can go head-to-head with Kenyan ones. Mwanza can't battle Mombasa, Arusha can't battle Kisumu. In fact our sixth largest city Thika is better than Mwanza.
 
The biggest shareholder is the government go and check your facts
klm kaona hasara kaamua kuuza share uhuru kenyata kaziforce bank 10 za kenya zinunue share zenye loss alaf atazilinda😀😀😀😀 yani nchi inaendeshwa kwa maamuz ya wakikuyu
 
airports of 2018
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png


kinasi-lodge.jpg
Mwanza_Airport.png
800px-Songea_Airport.jpg
Arusha_Airport.jpg
 
Argument yao ni just the losses KQ is making. Do they no profits za KQ 5 years ago
ndio maana yake 😀😀😀😀 loss miaka mitano do u think is a jock😛😛😛😛 rudiaheni ndege za watu alaf muanze kununua zenu sasa
 
There is no single city/town that can go head-to-head with Kenyan ones. Mwanza can't battle Mombasa, Arusha can't battle Kisumu. In fact our sixth largest city Thika is better than Mwanza.
Of course we won't afford to beat the largest shit chember in the world kibera is the largest deaths trap one massive slum possed by more than 3 million Kenyans are struggling in that hell.

Tanzania we don't have it
 
There is no single city/town that can go head-to-head with Kenyan ones. Mwanza can't battle Mombasa, Arusha can't battle Kisumu. In fact our sixth largest city Thika is better than Mwanza.
thika ni utumbo gani???😀😀😀😀😀
 
Tanzanians can't employ Kenyans. Wachagga hata hapo Dar they just own shops. Hawawezi kununua gari za Kenya. Too expensive for them.
Haha wengi tu tena house keepers ,walinzi nk
 
Back
Top Bottom