Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The Road, The Port and The Skyline.

This is Mombasa.

1000274327.jpg
 
Shidako ni Ushamba na ndio maana hata kushika chupa ya soda hujui.

This is Mombasa with a 8 lane section.

View attachment 3590461
😂😂😂 haya sawa. Kwa hiyo ni 8 lanes road.? Hizo 8 lanes juu ya daraja la mita 50.? Sikia hakuna barabara ya 6 lanes Mombasa.. kimsingi kuna barabara moja tu yenye iko na 6 lanes in the whole of Kenya. And that is thika highway. Labda uje na story za 8 lanes in some section. Ila kwa hizo 50 meters za brigde nadhani ni vyema ukubali ukweli, hautakufa.
 
😂😂😂 haya sawa. Kwa hiyo ni 8 lanes road.? Hizo 8 lanes juu ya daraja la mita 50.? Sikia hakuna barabara ya 6 lanes Mombasa.. kimsingi kuna barabara moja tu yenye iko na 6 lanes in the whole of Kenya. And that is thika highway. Labda uje na story za 8 lanes in some section. Ila kwa hizo 50 meters za brigde nadhani ni vyema ukubali ukweli, hautakufa.
Shidako ni Ushamba

More of 8 lane roads in Mombasa

1779086895975.jpeg

1779086920816.jpeg
 
Kwahiyo kazi yako itakua ni kutafuta section za mita 5 kupost.? Haya sawa 😂😂😂 kenya yote ina barabara moja tu enye iko na 6 lanes. The rest ni 2 lanes na chache hapo nairobi zenye ni 4 lanes.
Hata Turkana has an 8 lane Road. Kama hufurahishwi unaezajinyonga vile huwa unanyonga chupa.

Turkana

1779087937170.jpeg
 
Hii sasa ndio maana ya railway kuingia port. Huko bongoslum railway imeishia kwa yard, wanasema imeingia port. 😂 😂 😂 Hizi ndio vitu zinafanya Dangote achague Mombasa over anywhere else.
Hebu tuonyeshe tuone, mana unazungumza vitu usivyovijua kwa kujiamini. 😂😂😂
 
Back
Top Bottom