Ulitaka tuhesabu pedestrian lane then it's a 10 lane road na ukitaka pia naezahesabu road shoulders to make it a 12 lane road😂😂🤣. By the way ukipenda unaezalia ukipenda.kwahio unahesabu mpaka pedestrian lane? wach kuwa desperate!
Sisi tunaingiza TAZARA, MGR na SGR wewe unaongelea barabara. Ujinga kweli ni adhabu
😂😂😂 haya sawa. Kwa hiyo ni 8 lanes road.? Hizo 8 lanes juu ya daraja la mita 50.? Sikia hakuna barabara ya 6 lanes Mombasa.. kimsingi kuna barabara moja tu yenye iko na 6 lanes in the whole of Kenya. And that is thika highway. Labda uje na story za 8 lanes in some section. Ila kwa hizo 50 meters za brigde nadhani ni vyema ukubali ukweli, hautakufa.Shidako ni Ushamba na ndio maana hata kushika chupa ya soda hujui.
This is Mombasa with a 8 lane section.
View attachment 3590461
Shidako ni Ushamba😂😂😂 haya sawa. Kwa hiyo ni 8 lanes road.? Hizo 8 lanes juu ya daraja la mita 50.? Sikia hakuna barabara ya 6 lanes Mombasa.. kimsingi kuna barabara moja tu yenye iko na 6 lanes in the whole of Kenya. And that is thika highway. Labda uje na story za 8 lanes in some section. Ila kwa hizo 50 meters za brigde nadhani ni vyema ukubali ukweli, hautakufa.
Hii yoote halafupipeline inaenda Tanga!

Sawa Methuselah.Hii yoote halafupipeline inaenda Tanga!![]()
![]()
Kwahiyo kazi yako itakua ni kutafuta section za mita 5 kupost.? Haya sawa 😂😂😂 kenya yote ina barabara moja tu enye iko na 6 lanes. The rest ni 2 lanes na chache hapo nairobi zenye ni 4 lanes.
Hata Turkana has an 8 lane Road. Kama hufurahishwi unaezajinyonga vile huwa unanyonga chupa.Kwahiyo kazi yako itakua ni kutafuta section za mita 5 kupost.? Haya sawa 😂😂😂 kenya yote ina barabara moja tu enye iko na 6 lanes. The rest ni 2 lanes na chache hapo nairobi zenye ni 4 lanes.
Turkana inashinda Dodoma kwa barabara.Imagine dodoma mji wa juzi tu unashinda mombasa kwa barabara. 😂😂😂 hiyo mombasa ni Tanga iliyochangamka.
Tanzania tulishatoka huku. Tupo kwenye BRT, unatuonesha old school development.Hata Turkana has an 8 lane Road. Kama hufurahishwi unaezajinyonga vile huwa unanyonga chupa.
Turkana
View attachment 3590473
Hata Turkana has an 8 lane Road. Kama hufurahishwi unaezajinyonga vile huwa unanyonga chupa.
Turkana
View attachment 3590473
😂😂😂 mombasa inachekesha, inazidiwa na dodoma mji wa juzi.Turkana inashinda Dodoma kwa barabara.
Hii sasa ndio maana ya railway kuingia port. Huko bongoslum railway imeishia kwa yard, wanasema imeingia port. 😂 😂 😂 Hizi ndio vitu zinafanya Dangote achague Mombasa over anywhere else.
Hizi nazo ni nini tena.? 😂😂😂8 lane Road under construction in Kisumu. Kuna wenye wanatupigia kelele juu ya render yet hata 6 lane hawana😂😂
View attachment 3590478View attachment 3590479View attachment 3590480
Hebu tuonyeshe tuone, mana unazungumza vitu usivyovijua kwa kujiamini. 😂😂😂Hii sasa ndio maana ya railway kuingia port. Huko bongoslum railway imeishia kwa yard, wanasema imeingia port. 😂 😂 😂 Hizi ndio vitu zinafanya Dangote achague Mombasa over anywhere else.
Kama Mombasa inazidi Dar is slum, sasa Dodoma ndio itawezana? By the way ebu tuonyeshe hiyo 8 lane road unaongelea.😂😂😂 mombasa inachekesha, inazidiwa na dodoma mji wa juzi.
Something that you can't get in any city in Tanzania outside Dar.Hizi nazo ni nini tena.? 😂😂😂