Soma nilichoandika vizuri kabla ya kukurupuka kutukana.
Sijasema Katiba ya Kenya ina kifungu kinachosema:
Every government office must display the President’s portrait.
Nilichosema ni kwamba suala hilo linaegemea kwenye:
- Constitution (mfano Article 131(1)(e) kumtambua Rais kama symbol of national unity),
- National Flag, Emblems and Names Act,
- Standing Orders,
- Circulars,
- Government administrative protocol.
Sheria na protocol vinafanya kazi pamoja kwenye public administration. Si kila kitu lazima kiandikwe sentence kwa sentence ndani ya Katiba ndipo kiwe official government practice.
Mfano:
hakuna kifungu cha Katiba ya Kenya kinachosema “portrait itundikwe ukutani”,
lakini bado serikali yenyewe husambaza official presidential portraits na public offices huzitundika kwa government protocol.
Ndiyo maana hata ukiondoa portrait kwenye public office inakuwa national controversy na suala la official conduct, si jambo la kawaida tu.
Na Tanzania pia ipo hivyo hivyo:
1. hakuna kifungu cha Katiba kinachosema lazima,
2. lakini government protocol na directives zinafanya public offices ziwe nazo.
Kwa hiyo point ilikuwa:
Kenya na Tanzania zote zina official state practice ya kuweka picha ya Rais kwenye ofisi za serikali, hata kama si “constitutional symbol” kama Flag au Anthem.
Sasa kama huwezi kutofautisha kati ya:
- constitutional national symbol,
- statutory framework,
- administrative protocol,
basi usikimbilie kuita watu mafala wakati discussion yenyewe ni ya legal administration.