Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You were creating a difficult environment for investors from Tanzania while protecting the interests of the whites. Now the whites are running away from you. There is no way now, you have to come and lick the feet of Tanzania in a stable economy.
The funny part is that those are not Tanzanians.
 
Soma nilichoandika vizuri kabla ya kukurupuka kutukana.
Sijasema Katiba ya Kenya ina kifungu kinachosema:
Every government office must display the President’s portrait.

Nilichosema ni kwamba suala hilo linaegemea kwenye:
  • Constitution (mfano Article 131(1)(e) kumtambua Rais kama symbol of national unity),
  • National Flag, Emblems and Names Act,
  • Standing Orders,
  • Circulars,
  • Government administrative protocol.
Sheria na protocol vinafanya kazi pamoja kwenye public administration. Si kila kitu lazima kiandikwe sentence kwa sentence ndani ya Katiba ndipo kiwe official government practice.
Mfano:

hakuna kifungu cha Katiba ya Kenya kinachosema “portrait itundikwe ukutani”,
lakini bado serikali yenyewe husambaza official presidential portraits na public offices huzitundika kwa government protocol.

Ndiyo maana hata ukiondoa portrait kwenye public office inakuwa national controversy na suala la official conduct, si jambo la kawaida tu.

Na Tanzania pia ipo hivyo hivyo:
1. hakuna kifungu cha Katiba kinachosema lazima,
2. lakini government protocol na directives zinafanya public offices ziwe nazo.
Kwa hiyo point ilikuwa:
Kenya na Tanzania zote zina official state practice ya kuweka picha ya Rais kwenye ofisi za serikali, hata kama si “constitutional symbol” kama Flag au Anthem.

Sasa kama huwezi kutofautisha kati ya:
  1. constitutional national symbol,
  2. statutory framework,
  3. administrative protocol,
    basi usikimbilie kuita watu mafala wakati discussion yenyewe ni ya legal administration.
Sasa unapinga nini na hata Uhuru mwenyewe akiwa President alisema kuweka picha ya Rais sio lazima. Wewe unapinga kama nani sasa? Kenya tunafwata Katiba, sio kama bongoslum.
 

Hata ukimdharau sisi tumemuheshimu kwa hilo. Sikiliza maelezo ya Waziri wa uchukuzi hapa.


View: https://www.instagram.com/reel/DYSgi0lMSqD/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=NTc4MTIwNjQ2YQ==

Sikiliza maelezo ya waziri mkuu hapa:

View: https://www.instagram.com/p/DYSaB9mtcHH/?hl=en

Brother uwe unafuatilia vitu details siyo kuchukulia juu juu na kuwatuhumu watu bila kuelewa details
 
Hata ukimdharau sisi tumemuheshimu kwa hilo. Sikiliza maelezo ya Waziri wa uchukuzi hapa.


View: https://www.instagram.com/reel/DYSgi0lMSqD/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=NTc4MTIwNjQ2YQ==

Sikiliza maelezo ya waziri mkuu hapa:

View: https://www.instagram.com/p/DYSaB9mtcHH/?hl=en

Brother uwe unafuatilia vitu details siyo kuchukulia juu juu na kuwatuhumu watu bila kuelewa details

Hahitaji kuponda uwanja wa Serengeti ambao ni muhimu zaidi kuondoa threat ya ule wa Narok unaojengwa!
 
Sasa unapinga nini na hata Uhuru mwenyewe akiwa President alisema kuweka picha ya Rais sio lazima. Wewe unapinga kama nani sasa? Kenya tunafwata Katiba, sio kama bongoslum.
Nimekwambia tangu mwanzo kuwa Kenya hakuna explicit constitutional clause inayosema “kila office lazima iwe na picha ya Rais.” Hata serikali yenu ilishasema private citizens hawalazimishwi.
Lakini unachokataa kuelewa ni tofauti kati ya:
  • wananchi binafsi,
    na
  • government offices/public service protocol.
Ndiyo maana practically ukienda:
  • ministries,
  • county offices,
  • police stations,
  • public schools,
  • serikali institutions Kenya,
    unakuta official portrait ya Rais ipo.
Kwa nini ipo kama si sehemu ya government administrative practice na protocol?
Na hiyo statement ya Uhuru ilihusu wananchi na biashara binafsi kutolazimishwa. Haikufuta government protocol ya public offices kutumia official presidential portrait.

Tanzania na Kenya zote zinafanana hapa:
  • hakuna Katiba inayosema portrait ni national symbol kama flag,
  • lakini serikali zote mbili zina official state practice ya kuweka picha ya Rais kwenye public offices.
Difference ni kwamba wewe umechukulia discussion kama emotions za kisiasa badala ya public administration na constitutional practice.
 
Hahitaji kuponda uwanja wa Serengeti ambao ni muhimu zaidi kuondoa threat ya ule wa Narok unaojengwa!
Ndio maana ninakuambia unatakiwa ufuatilie mjadala mzima. Kabla ya hapo kuna dada mbunge wa serengeti alitoa taarifa kutokana na maelezo ya Mbunge wa Sengerema Tabasamu kuhusu kuweka bajeti ndogo Uwanja wa Mwanza. Huyo Dada alipinga ujenzi wa uwanja wa mwanza. Ndipo baada ya hapo mzungumzaji aliyefuata alikuwa Msukuma

Hata hivyo Waziri mkuu baadaye alikuja kulifafanua. Na Kesho ijumaa atakaa na wabunge wa Kanda ya ziwa kuondoa utata huu. Vilevile Waziri mkuu alieleza kuwa Uwanja wa Serengeti ni PPP bali uwanja wa Mwanza ni Serikali 100%.

Na mimi naona hapo wala hakuna shida yoyote. Ungesikiliza mjadala mzima usingeweza kumlaumu msukuma.
 
Hakuna mtanzania mweupe.
Kutokana na nini? We rejected and opposed this racism from the time of apartheid in South Africa.
Katiba yetu ya Tanzania inakataza ubaguzi wa rangi au hali ya mtu.
Mtu hatambuliki kuwa mtanzania kwa rangi yake.

Hata hivyo unakosa kujua dunia. Ulaya majority ni white lakini wapo watu weusi na mpaka wengine ni viongozi wa juu huko.
Kwa mfano Kemi Badenoch is the Leader of the Conservative Party
1778741221748.png


Huo ubaguzi kikabila utawamaliza wakenya.
 
Kutokana na nini? We rejected and opposed this racism from the time of apartheid in South Africa.
Katiba yetu ya Tanzania inakataza ubaguzi wa rangi au hali ya mtu.
Mtu hatambuliki kuwa mtanzania kwa rangi yake.

Hata hivyo unakosa kujua dunia. Ulaya majority ni white lakini wapo watu weusi na mpaka wengine ni viongozi wa juu huko.
Kwa mfano Kemi Badenoch is the Leader of the Conservative Party
View attachment 3588491

Huo ubaguzi kikabila utawamaliza wakenya.
Hakuna mtanzania mweupe. All those investors coming to Kenya are Arabs that are tired with your dictatorship government.
 
Ndio maana ninakuambia unatakiwa ufuatilie mjadala mzima. Kabla ya hapo kuna dada mbunge wa serengeti alitoa taarifa kutokana na maelezo ya Mbunge wa Sengerema Tabasamu kuhusu kuweka bajeti ndogo Uwanja wa Mwanza. Huyo Dada alipinga ujenzi wa uwanja wa mwanza. Ndipo baada ya hapo mzungumzaji aliyefuata alikuwa Msukuma

Hata hivyo Waziri mkuu baadaye alikuja kulifafanua. Na Kesho ijumaa atakaa na wabunge wa Kanda ya ziwa kuondoa utata huu. Vilevile Waziri mkuu alieleza kuwa Uwanja wa Serengeti ni PPP bali uwanja wa Mwanza ni Serikali 100%.

Na mimi naona hapo wala hakuna shida yoyote. Ungesikiliza mjadala mzima usingeweza kumlaumu msukuma.
Wasukuma ni wabinafsi halafu wabadhirifu mnalazimishia kuhudumia Serengeti NP wakati haipo Mwanza ipo mkoa wa Mara! Kuna wakati Msukuma alitaka Mwanza airport iitwe Serengeti. ATI Serengeti international airport haina manufaa! Tangu lini Msukuma anajihusisha na utalii? Kila kitu mnataka nyie! Ndio maana Samia alimuweka jamaa yenu kuwa Deputy PM kama chambo! Mtueleze fedha ya jengo lile ambalo halijakamilika ilienda wapi?
 
Hakuna mtanzania mweupe. All those investors coming to Kenya are Arabs that are tired with your dictatorship government.
Kwamujibu wa kitu gani kinakuambia hakuna Mtanzania mweupe? So Kemi Badenoch is not a British because is Black?
Achana na Primitive Ideas dunia ilishatoka huko
 
Wasukuma ni wabinafsi halafu wabafhirifu mnalazimishia kuhudumia Serengeti NP wakati haipo Mwanza ipo mkoa wa Mara! Kuna wakati Msukuma alitaka Mwanza airport iitwe Serengeti. ATI Serengeti international airport haina manufaa! Tangu lini Msukuma anajihusisha na utalii? Kila kitu mnataka nyie! Ndio maana Samia alimuweka jamaa yenu kuwa Deputy PM kama chambo! Mturleze fedha ya jengo lile ambalo halijakamilika ilienda wapi?
Hasira zote hizi ni kwasababu ya Msukuma kutaka Uwanja wa Ndege wa Mwanza ukamilike? Hakuna sehemu Msukuma alipinga Ujenzi wa uwanja wa serengeti. Nadhani hizi hapa ni Chuki zako binafsi, siwezi kujadili kutokana na personal issue. kama mpo na ugomvi na msukuma tafutaneni mmalize ugomvi wenu.

Halafu siyo Msukuma pekee aliyeongelea hilo. Nimekueleza aliyeanza ni Tabasamu Mbunge wa Sengerema.

Sisi wakazi wa Mwanza tunataka Uwanja wa Maana wa Ndege na vilevile tunataka uwanja ndani ya Serengeti, vyote vifanyike

NB: Hii ajenda ilishatolewa ufafanuzi na hakuna utata tena
 
Hasira zote hizi ni kwasababu ya Msukuma kutaka Uwanja wa Ndege wa Mwanza ukamilike? Hakuna sehemu Msukuma alipinga Ujenzi wa uwanja wa serengeti. Nadhani hizi hapa ni Chuki zako binafsi, siwezi kujadili kutokana na personal issue. kama mpo na ugomvi na msukuma tafutaneni mmalize ugomvi wenu.

Halafu siyo Msukuma pekee aliyeongelea hilo. Nimekueleza aliyeanza ni Tabasamu Mbunge wa Sengerema.

Sisi wakazi wa Mwanza tunataka Uwanja wa Maana wa Ndege na vilevile tunataka uwanja ndani ya Serengeti, vyote vifanyike

NB: Hii ajenda ilishatolewa ufafanuzi na hakuna utata tena
Hasira yangu ni kwa vile anakandia uwanja wa Serengeti! Amekosa uzalendo! Apiganie uwanja wa Mwanza kivyake! Na asilazimishe Serengeti NP ihudumiwe na uwanja wa Mwanza! Hebu tuambieni kama mna uwezo huo, vyanzo vyenu vya utalii vina-perform Vp?


View: https://youtu.be/-pKhQtblbFE?is=NMHaVCDaakT8eWuU
 
Ukweli wa Katiba yenu huu hapa

Baada ya machafuko ya 2007/2008, Wakenya waliamini kuwa kila kabila likiwa na "ulaji" (bajeti) wake katika eneo lake (County), vurugu za kugombea kiti cha Rais Nairobi zitapungua.
Wewe ni burukenge tu. Hopping here and there like a frog
 
Back
Top Bottom