Nimekwambia tangu mwanzo kuwa Kenya hakuna explicit constitutional clause inayosema “
kila office lazima iwe na picha ya Rais.” Hata serikali yenu ilishasema private citizens hawalazimishwi.
Lakini unachokataa kuelewa ni tofauti kati ya:
- wananchi binafsi,
na
- government offices/public service protocol.
Ndiyo maana practically ukienda:
- ministries,
- county offices,
- police stations,
- public schools,
- serikali institutions Kenya,
unakuta official portrait ya Rais ipo.
Kwa nini ipo kama si sehemu ya government administrative practice na protocol?
Na hiyo statement ya Uhuru ilihusu wananchi na biashara binafsi kutolazimishwa. Haikufuta government protocol ya public offices kutumia official presidential portrait.
Tanzania na Kenya zote zinafanana hapa:
- hakuna Katiba inayosema portrait ni national symbol kama flag,
- lakini serikali zote mbili zina official state practice ya kuweka picha ya Rais kwenye public offices.
Difference ni kwamba wewe umechukulia discussion kama emotions za kisiasa badala ya public administration na constitutional practice.