Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kutokana na nini? We rejected and opposed this racism from the time of apartheid in South Africa.
Katiba yetu ya Tanzania inakataza ubaguzi wa rangi au hali ya mtu.
Mtu hatambuliki kuwa mtanzania kwa rangi yake.

Hata hivyo unakosa kujua dunia. Ulaya majority ni white lakini wapo watu weusi na mpaka wengine ni viongozi wa juu huko.
Kwa mfano Kemi Badenoch is the Leader of the Conservative Party
View attachment 3588491

Huo ubaguzi kikabila utawamaliza wakenya.
Ruto anawatambua kama Watanzania ila kondoo wanasema sio Watanzania. 😂😂😂
1778752116684.jpeg
1778752340961.png
 
🤣 🤣 🤣 🤣 Tumewabinya mpaka Protective regulations zenu mnaziacha. Mpaka Shishi Food atakuja kufungua Company hapo Kenya.

Ndio kama tulivyokuwa tunasema tutaanza kuwauzia ugali badala ya mahindi na unga
Uchumi umekuwa na shida hawana jinsi lazima waachie. Sasa atakuja Bakhressa kumaliza kazi huko Azam Tv ni launch pad tuu.
 
Nimekwambia tangu mwanzo kuwa Kenya hakuna explicit constitutional clause inayosema “kila office lazima iwe na picha ya Rais.” Hata serikali yenu ilishasema private citizens hawalazimishwi.
Lakini unachokataa kuelewa ni tofauti kati ya:
  • wananchi binafsi,
    na
  • government offices/public service protocol.
Ndiyo maana practically ukienda:
  • ministries,
  • county offices,
  • police stations,
  • public schools,
  • serikali institutions Kenya,
    unakuta official portrait ya Rais ipo.
Kwa nini ipo kama si sehemu ya government administrative practice na protocol?
Na hiyo statement ya Uhuru ilihusu wananchi na biashara binafsi kutolazimishwa. Haikufuta government protocol ya public offices kutumia official presidential portrait.

Tanzania na Kenya zote zinafanana hapa:
  • hakuna Katiba inayosema portrait ni national symbol kama flag,
  • lakini serikali zote mbili zina official state practice ya kuweka picha ya Rais kwenye public offices.
Difference ni kwamba wewe umechukulia discussion kama emotions za kisiasa badala ya public administration na constitutional practice.
It is customary for both countries to have presidential portraits in public offices, not bound by law.
 
Hakuna mtanzania mweupe. All those investors coming to Kenya are Arabs that are tired with your dictatorship government.
Kwahiyo hata SA hakuna msauzi white sio au hakuna black American ndio unataka kusema hivyo we bumunda?
 
Back
Top Bottom