Hakuna aliyesema picha ya Rais ni National Symbol ya kudumu kama Flag au National Anthem. Hapo umechanganya mambo mawili tofauti.
Kitu nilichokwambia ni kwamba nchini Kenya, kupitia government protocol, standing orders, circulars na administrative practice, ofisi za serikali huweka picha rasmi ya Rais aliyepo madarakani. Ndiyo maana hata huyo wa Siaya County Assembly alipoiondoa ikawa habari ya kitaifa na mjadala mkubwa, maana kuna official expectation ya kuwa nayo kwenye public offices.
Na hata Article 131(1)(e) inamtambua Rais kama “symbol of national unity”. Haimaanishi portrait ni constitutional symbol, bali inatoa msingi wa protocol ya serikali kumwakilisha Mkuu wa Nchi kwenye taasisi za umma.
Pia hakuna aliyesema wananchi binafsi lazima waweke picha ya Rais nyumbani au dukani. Hilo hata serikali ya Kenya ilishawahi kulieleza wazi.
Kwa hiyo usichanganye:
National Symbols siyo Government Protocol.